Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,246
- 90,423
mrembo sio vzr,unatuacha na hamuNext time please
mrembo sio vzr,unatuacha na hamuNext time please
Atakuwa na jamaa yake humu sio bure, huyu yupo booked aisee..mrembo sio vzr,unatuacha na hamu
Anatusoma tu af anatuchunia, si unaona alama ya online hapo. Tumbariki tu alale salama.Wakubwa huyu kaenda kulala tunafanyaje sasa
Tukiamka tutaanzia tulipoishiawalau tulale unono
Hata mie najua hajalala..Anatusoma tu af anatuchunia, si unaona alama ya online hapo. Tumbariki tu alale salama.
Hahaaaa. Dom nendeni mkashuhudie memaNijuavyo mimi mu-shaija ni mwanaume kwa ile lugha yetu ya kimataifa; na ka- katika ka-shaija ni kiambatishi dogoshi pendezeshi kama ilivyo kwenye m-toto ~ ka-toto. Nimetumia neno Kashaija kwa maana hiyo jumuishi. Ningekulenga wewe, maadamu nalijua jina lako halisi, basi ningesema kabisa Kashaija72 ili kukwepa utata.
Tuko pamoja mkuu...
Ila Dodoma tunakuja tu![]()
naam.matumaini yangu ombi litafanyiwa kaziTukiamka tutaanzia tulipoishia
hawezi kulala saa hzHata mie najua hajalala..
akatuacha solembaAnatusoma tu af anatuchunia, si unaona alama ya online hapo. Tumbariki tu alale salama.
humu wengi wako booked mkuu.sie tushike mapembe tuAtakuwa na jamaa yake humu sio bure, huyu yupo booked aisee..
Wazee tulaleni tu..
Nalala sana, hili ni tatizo..nimepitwa sana, nimepitwa mimi.Thank you guys for the compliment aisee
![]()
Kabisa kiongozi, kauzi kako poa sana haka. Kaka zenu tunawazoom tu hapa..hahaha, vijana watumie vzr?
Kaka ElyHaka kauzi bwana...@Mshana Jr!
Ukikatumia effectively..vijana I mean!
If you know..you know!






Nijuavyo mimi mu-shaija ni mwanaume kwa ile lugha yetu ya kimataifa; na ka- katika ka-shaija ni kiambatishi dogoshi pendezeshi kama ilivyo kwenye m-toto ~ ka-toto. Nimetumia neno Kashaija kwa maana hiyo jumuishi. Ningekulenga wewe, maadamu nalijua jina lako halisi, basi ningesema kabisa Kashaija72 ili kukwepa utata.
Tuko pamoja mkuu...
Ila Dodoma tunakuja tu![]()








SYB unachekesha rafiki mkuje tuuuLegendsUkikatumia effectively.... Only the legends can break the code!

Wewe ni legend?Kaka Ely![]()
Mmhtuko sisi tu
Usingizi MkuuKwanza kabisa kamati ina ofa yako hapa, we unataka kwenda ap tena.