Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nijuavyo mimi mu-shaija ni mwanaume kwa ile lugha yetu ya kimataifa; na ka- katika ka-shaija ni kiambatishi dogoshi pendezeshi kama ilivyo kwenye m-toto ~ ka-toto. Nimetumia neno Kashaija kwa maana hiyo jumuishi. Ningekulenga wewe, maadamu nalijua jina lako halisi, basi ningesema kabisa Kashaija72 ili kukwepa utata.

Tuko pamoja mkuu ...

Ila Dodoma tunakuja tu
Hahaaaa. Dom nendeni mkashuhudie mema
 
Nijuavyo mimi mu-shaija ni mwanaume kwa ile lugha yetu ya kimataifa; na ka- katika ka-shaija ni kiambatishi dogoshi pendezeshi kama ilivyo kwenye m-toto ~ ka-toto. Nimetumia neno Kashaija kwa maana hiyo jumuishi. Ningekulenga wewe, maadamu nalijua jina lako halisi, basi ningesema kabisa Kashaija72 ili kukwepa utata.

Tuko pamoja mkuu ...

Ila Dodoma tunakuja tu
SYB unachekesha rafiki mkuje tuuu
 
Back
Top Bottom