Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jamaa yangu Shimba Ya Buyenze labda iwe kuna Kashaija mwingine, Ila Mimi sihusiki
Nijuavyo mimi mu-shaija ni mwanaume kwa ile lugha yetu ya kimataifa; na ka- katika ka-shaija ni kiambatishi dogoshi pendezeshi kama ilivyo kwenye m-toto ~ ka-toto. Nimetumia neno Kashaija kwa maana hiyo jumuishi. Ningekulenga wewe, maadamu nalijua jina lako halisi, basi ningesema kabisa Kashaija72 ili kukwepa utata.

Tuko pamoja mkuu ...

Ila Dodoma tunakuja tu
 
Now let me sing my song,
Oghene doh ooo
I lift my hands to You
Miye Ruwe, Miye Ruwe

Take it all, take it all
Oghene doh ooo
Halloweth be Your name
Miye Ruwe, Miye Ruwe
Mimi kuabudu kwa kizungu yaani huwa sinogewi kabisa. Hata hizi nyimbo za kizungu hizi wala! Hata nikiomba kwa kizungu sala wala hazikolei. Sijui hata tatizo ni nini. Labda ni kutoifahamu lugha hiyo vizuri pamoja na utamaduni wake
 
Mimi kuabudu kwa kizungu yaani huwa sinogewi kabisa. Hata hizi nyimbo za kizungu hizi wala! Hata nikiomba kwa kizungu sala wala hazikolei. Sijui hata tatizo ni nini. Labda ni kutoifahamu lugha hiyo vizuri pamoja na utamaduni wake
Inawezekana ni mazoea , unajikuta tu ushazoea kuimba kwa kingereza .
Kufahamu lugha si tatizo sema kikubwa ni lugha ulivyoanza kuitumia katika kuimba .
 
Back
Top Bottom