Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Kweli rafiki
Kweli rafiki
mie cjui rafiki.lugha yoyote.msingi la pili b.makurumlaKweli rafiki
Haya rafiki ..mie cjui rafiki.lugha yoyote.msingi la pili b.makurumla
Nijuavyo mimi mu-shaija ni mwanaume kwa ile lugha yetu ya kimataifa; na ka- katika ka-shaija ni kiambatishi dogoshi pendezeshi kama ilivyo kwenye m-toto ~ ka-toto. Nimetumia neno Kashaija kwa maana hiyo jumuishi. Ningekulenga wewe, maadamu nalijua jina lako halisi, basi ningesema kabisa Kashaija72 ili kukwepa utata.Jamaa yangu Shimba Ya Buyenze labda iwe kuna Kashaija mwingine, Ila Mimi sihusiki


...



hahahaha.anza wwHaya rafiki ..
Tupiamo selfie usiku huu
Hurrrrrrray kwa mshana hurrrrrayyyyy!!!Haka kauzi bwana...@Mshana Jr!
Ukikatumia effectively..vijana I mean!
If you know..you know!
Utatuma kweli rafikihahahaha.anza ww
Mimi kuabudu kwa kizungu yaani huwa sinogewi kabisa. Hata hizi nyimbo za kizungu hizi wala! Hata nikiomba kwa kizungu sala wala hazikolei. Sijui hata tatizo ni nini. Labda ni kutoifahamu lugha hiyo vizuri pamoja na utamaduni wakeNow let me sing my song,
Oghene doh ooo
I lift my hands to You
Miye Ruwe, Miye Ruwe
Take it all, take it all
Oghene doh ooo
Halloweth be Your name
Miye Ruwe, Miye Ruwe



Boss Lady. Umeshaselfika nikapitwa?Hurrrrrrray kwa mshana hurrrrrayyyyy!!!
Hahahaa!
hahahaha.nasubiriUtatuma kweli rafiki
Naanza mimi ngoja nitafute
Hapana dokta! HujapitwaBoss Lady. Umeshaselfika nikapitwa?
Inawezekana ni mazoea , unajikuta tu ushazoea kuimba kwa kingereza .Mimi kuabudu kwa kizungu yaani huwa sinogewi kabisa. Hata hizi nyimbo za kizungu hizi wala! Hata nikiomba kwa kizungu sala wala hazikolei. Sijui hata tatizo ni nini. Labda ni kutoifahamu lugha hiyo vizuri pamoja na utamaduni wake![]()
tuwekee ya kulaliaHapana dokta! Hujapitwa
okInawezekana ni mazoea , unajikuta tu ushazoea kuimba kwa kingereza .
Kufahamu lugha si tatizo sema kikubwa ni lugha ulivyoanza kuitumia katika kuimba .
kidhungu tatizo rafikiNdio rafiki ...
Ni wimbo wa dini
Hahaaaahaa!!!Jamaa yangu Shimba Ya Buyenze labda iwe kuna Kashaija mwingine, Ila Mimi sihusiki
Lol Leo sijapiga kabisa..tuwekee ya kulalia