Makoloni ya watu kila kona. Labda uendeshe liberation struggles and emancipation of the "colonized"Ukikatumia effectively.... Only the legends can break the code!






DuhAtakuwa na jamaa yake humu sio bure, huyu yupo booked aisee..
Wazee tulaleni tu..
Siku nyingine rafikiNalala sana, hili ni tatizo..nimepitwa sana, nimepitwa mimi.
Nafurahi sana kama unacheka rafiki. Ndiyo lengo la matani yetu hapa. Dodoma mimi sipafahamu kabisa na nilikuwa napita hapo tu nikiwa kwenye treni kutoka bara nikienda Dar huko kusoma. Kashaija wetu asiwe na wasiwasi bana..SYB unachekesha rafiki mkuje tuuu



Naamka mapema hivyo ilibidi nilale muda ule .Hata mie najua hajalala..
niko poa rafikiNimeamka salama rafiki vipi wewe ?
Mmh! Hapo hadi twenti twenti srii nadhaniSiku nyingine rafiki
Ooh vyemaniko poa rafiki
Hapana ..Mmh! Hapo hadi twenti twenti srii nadhani
tuliishia wapi?Hapana ..
Siku yoyote tu
Basi ngoja tutaona mkuu.Hapana ..
Siku yoyote tu
Eeh rafikituliishia wapi?