Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Amuogopa babu?
😀😀😀😀 gari ikianza pita unatega sikio na kukaza kweli kiuno na kuuma meno.. kinakuwaga kipindi kigumu sana kama gari ipo chini sanaKweli aisee vile vilivochongoka ukiwa speed kiasi vinaharibu Sana gari inatikisika kama tetemeko ukiwasema tanroads wanasema usiwaingilie kazitutafika tumechoka sana
Ooh yes dear. Leta mamboHeaven Sent bila shaka ushafika salama ukokua unaenda!! Aisee nimeshazitoa kwa fundi nakusubiri
Mmoja wa ma bwana shamba yule...mkuu wa muhimili.Tutaweza kweli?
Ooh yes dear. Leta mambo
Mi Natuma Ivoivo tu alivoshona,!
Where is fresh juice
Una maana kuwa awe amevaa au sio. Nami nasubiri. mahondawBila kujaribisha? Usitufanyie hivyo bana