Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
😂😂😂Wanawake na washike kusifu Jina lake
Braza ako amecheza kama Jorginho kutuletea huu wimbo
😂😂😂Wanawake na washike kusifu Jina lake
Braza ako amecheza kama Jorginho kutuletea huu wimbo
😊Nothing bad is happening kwetu watumishi.
Can somebody shout amen?
HS yupo magotini anatuombea🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani dada mkuu HS anasemaje?
😂😂😂😂😂HS yupo magotini anatuombea
Hahaaaaaa, Wewe hata ukiona inakuvutia nini
Acha ufisimsalimie huyu aliyelala wa kwanza![]()
Ni senene tu au unataka na masikhara ya Rikiboy? 😂 lengo ni senene wakufikie si ndiyo ? Ataleta bodaboda 😂Nataka ya elfu 10,000 mwanafunzi, ya pili pili.. N:B usimtume Extrovert niletee mwenyewe
Aaaabwanaaa... nataka senene tu.. acha basi mawazo mabayaaa 😎😎😎😎Ni senene tu au unataka na masikhara ya Rikiboy? 😂 lengo ni senene wakufikie si ndiyo ? Ataleta bodaboda 😂
Kwakweli huwa siwezi kuweka ukuda kwa dada mkuu.😂😂😂😂😂
Sasa akija akute selfie yako
Kwakweli huwa siwezi kuweka ukuda kwa dada mkuu.
Potelea mbali, wacha ni blow cover kwa hii picha ya juzi pale Mbarali madukani.
Sijui kwanini bodyguard wangu ndugu Mwamaja Mwalumumba alimuangalia cameraman kwa hasira hivi
View attachment 2110187





Yanazungumzika haya, darling
Ujue baba sina hela za kukutoa ukiswekwa ndani
Nitaweza kuzungumza kweli?🤣Yanazungumzika haya, darling
Kutaja hadharani jina la huyu mwanausalama Mwamaja?....ni kosa kweli, ila linazungumzika
Unataka kusema hata dada yetu blaka beauty wa pale Mbeya mjini ata'tulia' tu asikusaidie?Nitaweza kuzungumza kweli?🤣
Hofu yangu utakaa huko siku nyingi.
hata Vanguard sio mbaya.. japo ni mbingu na ardhi kwa VXR....


kabisa Yani ukizoea kufukia matuta hii unakerekaMie kuna moja nilikuwa naitumia.. nilikuwa nakosa uvumilivu.. kwenye rasta nakaza moyo natembelea 150.. ambapo nilikuwa napoa ni kwenye humps kubwa.. kwenye rasta ukiwa mafuta sana usizikii sana kama ukiwa mdogo mdogokabisa Yani ukizoea kufukia matuta hii unakereka
Ni kweli ukiwa speed kubwa Rasta unafukia tu Ila hump kubwa lazma utulie halaf humps sijui tanroads hawana vipimo sawa maana maeneo mengine unakuta ni Kama tuta la viazi vitamuMie kuna moja nilikuwa naitumia.. nilikuwa nakosa uvumilivu.. kwenye rasta nakaza moyo natembelea 150.. ambapo nilikuwa napoa ni kwenye humps kubwa.. kwenye rasta ukiwa mafuta sana usizikii sana kama ukiwa mdogo mdogo
Tutaweza kweli?Unataka kusema hata dada yetu blaka beauty wa pale Mbeya mjini ata'tulia' tu asikusaidie?
Engineers wa Tanroad wanashinda mahala.. zile humps zilitakiwa nchi nzima ziwe na standard moja.. sasa kuna vituta unakuta havina afya ila vimechongoja kwa kwenda juuu.. lazima ukifika lazima uwe mnyenyekevu sanaa 😂😂😂.. nilisha haribu gari kwenye vile vituta vilikuwepo zamani kama unataka kutoka kwenye lile daraja ambalo liliharibika ( kuvunjika gairo)Ni kweli ukiwa speed kubwa Rasta unafukia tu Ila hump kubwa lazma utulie halaf humps sijui tanroads hawana vipimo sawa maana maeneo mengine unakuta ni Kama tuta la viazi vitamu
Kweli aisee vile vilivochongoka ukiwa speed kiasi vinaharibu Sana gari inatikisika kama tetemeko ukiwasema tanroads wanasema usiwaingilie kaziEngineers wa Tanroad wanashinda mahala.. zile humps zilitakiwa nchi nzima ziwe na standard moja.. sasa kuna vituta unakuta havina afya ila vimechongoja kwa kwenda juuu.. lazima ukifika lazima uwe mnyenyekevu sanaa.. nilisha haribu gari kwenye vile vituta vilikuwepo zamani kama unataka kutoka kwenye lile daraja ambalo liliharibika ( kuvunjika gairo)
tutafika tumechoka sana