financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,141
- 43,366
Karibuni, jpili tulivu huku ukitafuna senene taratiibu @5000/= tu pia kuna 10,000/= 😋😋
Hish!!
Na wameamini?
Iko siku utawaambia kuwa walipiga teke kopo la dhahabu!
Wewe ni miongoni mwa mababu wanaoandika kwenye mageti yao "Mbwa mkali" wajukuu zenu wakizeekea nyumbani mnabadilisha na kuandika "Tunauza barafu"![]()




Niletee hapa basi nimewapenda sana. nikuunge mwanafunziKaribuni, jpili tulivu huku ukitafuna senene taratiibu @5000/= tu pia kuna 10,000/= 😋😋
View attachment 2109931
Karibuni, jpili tulivu huku ukitafuna senene taratiibu @5000/= tu pia kuna 10,000/=
View attachment 2109931




Unauza senene? financial servicesKaribuni, jpili tulivu huku ukitafuna senene taratiibu @5000/= tu pia kuna 10,000/=
View attachment 2109931
Ndiyo mkuu, karibuuUnauza senene? financial services
Thank you mwalimu, nikuletee package ipi? Kuna sh 5000 na 10,000 kuna wenye pilipili na wasiokua nayo👏Niletee hapa basi nimewapenda sana. nikuunge mwanafunzi
Nataka ya elfu 10,000 mwanafunzi, ya pili pili.. N:B usimtume Extrovert niletee mwenyeweThank you mwalimu, nikuletee package ipi? Kuna sh 5000 na 10,000 kuna wenye pilipili na wasiokua nayo👏
Umeona nilichoonamsalimie huyu aliyelala wa kwanza![]()

Hao chini waliolala ni ruksa kulala ukiwa kazini au ni wateja?
KibongobongoHao chini waliolala ni ruksa kulala ukiwa kazini au ni wateja?