cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,297
Ooooh ahsante sana mlongo, na poleeh kwa kuondokewa na baba,Habari wapendwa
Shimba Ya Buyenze Mshana Jr mtu chake mahondaw Foxhound Karma Saint Anne Hornet Heaven Sent Gregory 2000 moudgulf T 1990 ELY billdrago Lizzy Khantwe rukia16 Mjep cocastic Depal na wadau wote wa selfika.
Napenda kuwakaribisha katika mkesha/shughuli ya arobain/hitima Ya mpendwa/marehemu baba yangu,,,,,,,itakayofanyika kesho tarehe 5/2/2022 kuanzia saa 1 asubuhi mpaka saa 8 mchana.karibuni sana
Location;mbinga


Tuje kwenye movie ni gani hiyo?
Maada unaielewa sio mbaya.hata sijui mi napoteza muda tu hapa namsubiri Boss wangu
Maada unaielewa sio mbaya.
Pole kwa kumngojea boss mpaka sasa,and hongera pia.
Sorry bei gan? Huenda naweza afford, hata ulikonunua unawza nipeleka,Mkuu
ha ha ha asantee

Unawweza km hiyo? Plz kuwa serious eti?Nikutengenezee?
Bei gan?Yaa tena serious yaan
Aseeeh yaan na mie nataka hivyo hivyo yaan.Tulinunua kwa Salometsyi My Dear



Aseeeh yaan na mie nataka hivyo hivyo yaan.![]()
Unawweza km hiyo? Plz kuwa serious eti?


Tofauti isizidi sana loluamini
kutoa kama hivyo kabisaa ni ngumu kubali tu itakua tofauti kidogo




Ahsanteh dear.mtafute Salomestyi dear au muone huyo Pendael hapo.
Ngoja ntakuchek PM.220000 kwa upande wangu naweza