Tunapata oksijeni toka kwenye miti na mimea, lakini kwa kasi ya ukataji miti na mimea irafika mahali oksijeni itauzwa kama bidhaa na ndio watu watagutuka na kuanza kupanda miti![]()




acha uwe na body nzuri, mimi hapo hizo sijui ni maandazi au kalmati zingekua nne![]()







akaaah sitaki mie. Hadi mbavu zinauma lolZinashawishi kweli 🥴acha uwe na body nzuri, mimi hapo hizo sijui ni maandazi au kalmati zingekua nne![]()
Tule tu nkamu, mbinguni tutapewa miili mipya![]()




Salama, nkajua umeshusha kitu Cha kusindikiza lunch.Humu ndani mpoooo??? Habari za uzima!![]()
🤣🤣🤣🤣 Saivi Nimepumzika kidogo!Salama, nkajua umeshusha kitu Cha kusindikiza lunch.