Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimefurahishwa na namna unaendana na members wa humu jf. Kiuhalisia kama ingetokea mahusiano baina yako wewe mtu chake na Chakorii yangenoga sana kwasababu kwa uzoefu wangu nilionao mwanaume descent akihusiana na mwanamke mchangamfu halafu design flani kama kauzi huwa penzi linakuwa tamu sana
Kweli mkuu haka kajamaa huwa kanacheka na kila mtu hakanaga tatizo na mtu wala sijawahi kukafuma jukwaani kanagombana na mtu. Kenyewe huwa kapo tu kanaamua kuwa kapenzi kasomaji na hata kakicomment hakaandiki maneno mengi ni vinukta tu au kucheka au sentensi zake mbili basi kamemaliza.
 
Kweli mkuu haka kajamaa huwa kanacheka na kila mtu hakanaga tatizo na mtu wala sijawahi kukafuma jukwaani kanagombana na mtu. Kenyewe huwa kapo tu kanaamua kuwa kapenzi kasomaji na hata kakicomment hakaandiki maneno mengi ni vinukta tu au kucheka au sentensi zake mbili basi kamemaliza.
hahahaha.ahsante rafiki. Eti aka 'kajamaa' nimecheka
 
Nyie mnaodai wazembe wazembe huwa mna utamu wa namna yake ,hasa ukute una tumbua lilionona kama la kwako hilo na jiharage lilioshiba vilivyo , nikibugia mishavu hiyo naifumbata huku ulimi ukitembea kwa ndani kuja nje kwa juu pyaaaa....pyaaaaa......pyaaaaaaaa...naliburuta jissime nafyonza utamu wooote naukokota hadi ujinyongoloe tartiiiibu unavunja dafu pwaaaaaa!!
Mbalizi sasa
 
20220127_151423.jpg
20220127_151433.jpg
 
Back
Top Bottom