Selfika na JF: Snap it. Show it

1. Usiku kitandani nalimtafuta mpendwa wa nafsi yangu,Nalimtafuta, nisimpate.

2. Nikasema, Haya, niondoke nizunguke mjini, katika njia zake na viwanjani, nimtafute mpendwa wa nafsi yangu. Nikamtafuta, nisimpate.

3. Walinzi wazungukao mjini waliniona;Je! Mmemwona mpendwa wa nafsi yangu?

4. Kitambo kidogo tu nikiisha kuwaondokea, nikamwona mpendwa wa nafsi yangu; nikamshika, nisimwache tena, hata nilipomleta nyumbani mwa mamangu, chumbani mwake aliyenizaa.

 

Kubusu na anibusu kwa kinywa chake. Maana pambaja zako zapita divai;
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…