Selfika na JF: Snap it. Show it

Unavyoupambaniaga ukianza kuharibiwa na masnitch...unaupambania utadhani sasa ni roho yako inataka chomolewa.
Huwezi kuelewa Anne!
Halafu kumbe unapita kule mama?

Ule uzi unaweza kusoma kisa kimoja tu, hata kama hisia zilikuwa upareni unashangaa damu ishakuwa ya moto.[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Huwezi kuelewa Anne!
Halafu kumbe unapita kule mama?

Ule uzi unaweza kusoma kisa kimoja tu, hata kama hisia zilikuwa upareni unashangaa damu ishakuwa ya moto.[emoji125][emoji125][emoji125]
Niliwahi pita nikaona unaupambania kweli yaani .


Napita ndiyo..kuna mdau tunaye humu niliona anajitapa kuzibua mtaro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…