ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,497
- 126,786
Sasa mbona jamaa akaoa mwanamke wanaendana umri? Huyo shemeji yako alitakiwa kuchukua mtoto mbichi kidogo wa 85 kwenda mbele.[emoji23][emoji23][emoji23]
Unajiona mkubwa Elli...Dada yangu wa kwanza alkuwa wa 76,wa pili wa 82...huyo mumewe sasa ndio ana umri sawa na wako.
Sema unaweza tu kuwa Anko wangu[emoji847] japo anko wangu ni wa 45