ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,427
- 118,963
Sasa mbona jamaa akaoa mwanamke wanaendana umri? Huyo shemeji yako alitakiwa kuchukua mtoto mbichi kidogo wa 85 kwenda mbele.
Unajiona mkubwa Elli...Dada yangu wa kwanza alkuwa wa 76,wa pili wa 82...huyo mumewe sasa ndio ana umri sawa na wako.
Sema unaweza tu kuwa Anko wangujapo anko wangu ni wa 45

japo anko wangu ni wa 45




,hilo gap lilikuwa kwa dada yangu huyo wa 76...mume wake mkubwa.