Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,498
- 235,199
Hujui jf ina sehemu ya kupiga ?Eeh unasema unaweka nini!? Airtime wapi wapi?
Hujui jf ina sehemu ya kupiga ?Eeh unasema unaweka nini!? Airtime wapi wapi?
Subiri uoneThubutuuuu
[emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2]looohVipi vocha imepita yani nakuwa nakuja kuja kila saa mniambie
☹️😒Hujui jf ina sehemu ya kupiga ?
Mizizi na ardhiiMimi na wewe tena binamu
@Saint Anne tuache sisi tupo comfortableIla nacheka leo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2085243
Nilikuwa sielewi....kumbe...Ila nacheka leo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2085243
Kwa huu moyo wako safi kuna watu eti watashangaa ukiwa Head girl mbinguni 🤣🤣Hilo limeisha
[emoji23][emoji23] [emoji1787][emoji1787]Hatimaye, kwa tuliokosa ndio mpaka 2028 si ndio?
Hapa ndipo lilipoungua shoka ukabaki mpini. Samahani nimedandia treni kwa mbeleSaint Anne naomba tafsiri. Nimeambiwa ni Kinyaki na ni leo wakati simba akikatwa mkia huko Green City...
View attachment 2085315
Waache washangae[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa huu moyo wako safi kuna watu eti watashangaa ukiwa Head girl mbinguni [emoji1787][emoji1787]
Mimi siwezi kumlaumu [emoji3][emoji3]Haiwezekani,,ametuhujumu hujuma za waziwazi[emoji23]
Ngoja nimlaumu pekeyangu😁Mimi siwezi kumlaumu [emoji3][emoji3]
Though na mie leo nimekumbukwa [emoji4][emoji4]
Eeeh!🤣Waache washangae[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi siwezi kumlaumu [emoji3][emoji3]
Though na mie leo nimekumbukwa [emoji4][emoji4]
Mkuu hii picha yako👆 mbona hujafuta haraka, humu naona ukiweka picha basi unaitoa haraka sana,Tanzania nchi yanguView attachment 2085325
Unaweza kuibadili hali hiyo kwa wewe kuanza kuweka picha yako na kuiacha bila kuifuta. Muda si muda watu wataiga mfano wako na trend hiyo itabadilika.Mkuu hii picha yako[emoji115] mbona hujafuta haraka, humu naona ukiweka picha basi unaitoa haraka sana,
Asante mai furendi. Simba wamekwenda kuungulia Mbeya...pole zao!Hapa ndipo lilipoungua shoka ukabaki mpini. Samahani nimedandia treni kwa mbele