Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Hujui jf ina sehemu ya kupiga ?Eeh unasema unaweka nini!? Airtime wapi wapi?
Hujui jf ina sehemu ya kupiga ?Eeh unasema unaweka nini!? Airtime wapi wapi?
Subiri uoneThubutuuuu
Vipi vocha imepita yani nakuwa nakuja kuja kila saa mniambie




loooh☹️😒Hujui jf ina sehemu ya kupiga ?
Mizizi na ardhiiMimi na wewe tena binamu
@Saint Anne tuache sisi tupo comfortable
Nilikuwa sielewi....kumbe...

Kwa huu moyo wako safi kuna watu eti watashangaa ukiwa Head girl mbinguni 🤣🤣Hilo limeisha
Hapa ndipo lilipoungua shoka ukabaki mpini. Samahani nimedandia treni kwa mbeleSaint Anne naomba tafsiri. Nimeambiwa ni Kinyaki na ni leo wakati simba akikatwa mkia huko Green City...
View attachment 2085315
Waache washangaeKwa huu moyo wako safi kuna watu eti watashangaa ukiwa Head girl mbinguni![]()



Mimi siwezi kumlaumuHaiwezekani,,ametuhujumu hujuma za waziwazi![]()




Ngoja nimlaumu pekeyangu😁Mimi siwezi kumlaumu
Though na mie leo nimekumbukwa![]()
Eeeh!🤣Waache washangae![]()




. Apambane na hali yake
Mimi siwezi kumlaumu
Though na mie leo nimekumbukwa![]()
Mkuu hii picha yako👆 mbona hujafuta haraka, humu naona ukiweka picha basi unaitoa haraka sana,Tanzania nchi yanguView attachment 2085325
Unaweza kuibadili hali hiyo kwa wewe kuanza kuweka picha yako na kuiacha bila kuifuta. Muda si muda watu wataiga mfano wako na trend hiyo itabadilika.Mkuu hii picha yakombona hujafuta haraka, humu naona ukiweka picha basi unaitoa haraka sana,

Asante mai furendi. Simba wamekwenda kuungulia Mbeya...pole zao!Hapa ndipo lilipoungua shoka ukabaki mpini. Samahani nimedandia treni kwa mbele