Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Ni roho mbaya tu hiyoDaah afu kale ka code ka kitumishi nilitaka sana mkaone na Anne na @Mahondaw



Ni roho mbaya tu hiyoDaah afu kale ka code ka kitumishi nilitaka sana mkaone na Anne na @Mahondaw



Pep unamuona shemeji yako lakini anachonifanyia![]()
Kwa sababu amenihujumu basi siagi![]()
Pep kuna watu hawanipendi![]()
Nakuona kama kitabu kizuriKaribu kusikiliza mziki



Huyo niliyemwita naye ni wa tumbo moja😊Heehehe. Muite na kaka ako wa tumbo moja
C.c @9.8ms squared
Jamani loooh!sasa itakuaje?!!Fanya tena baaasiii!!!Daah afu kale ka code ka kitumishi nilitaka sana mkaone na Anne na @Mahondaw
Njoo nikusomeNakuona kama kitabu kizuri
Kilichoshaheni,hadithi nzuri za mapenzi
Ukanifanya mimi siwezi,kula kulala mpaka nikuone
Nikufunue nikusome ndo nipate usingizi



Sasa shemeji yako ntamuachaje nikitoka?
Kwanza picha yenyewe sijaona![]()
Hilo limeishaDalili zote zinaonesha dada mkubwa unaweza kukaa na akina shangazi vizuri nikapata 'discount' kwenye mahari
Nimekuwa na bahati
Hapa nakusanya nguvu nianze kuwasimanga😀,msifikiri hili limeisha kirahisi hivi🤣Wewe unawapendaga wenzio?
Nyie kupitwaaaaSubiri usiku ntakavyopiga.
Leo hutalala kabisa![]()
Sikubali kabisa kujitoa kwa picha ambayo hatujaiona🤣Mpeane namba PM then mtawasiliana nje ya hapa.
Cha msingi picha imepostiwa![]()


Kama pete yangu,
inakuchomaa kidoleni
Ni Kama pendo langu,
Linakuchoma moyoni,
Bora kuitoa aaah aah,
Pendo kulivua aaah,
Bora kuitoa,
Moyoni mwangu Mi nisiteseke.View attachment 2084811
Muonee huruma mama mchungaji![]()
Siwezi kupitwa halafu niwaache bure.Nyie kupitwaaaa
Ni dhambi ku crop
Muulize mama mchungaji