Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Abeee...babe?

Nimekosa mimi,nimekosa sana ,nimekosa mimi.
Hiyo ni "a",siyo " e"..keyboard inataka kunichonganisha na watu






Abeee...babe?







Nimekosa mimi,nimekosa sana ,nimekosa mimi.
Hiyo ni "a",siyo " e"..keyboard inataka kunichonganisha na watu![]()


nimeuliza tu nilihisi nimesoma vibayaNdo namuomba hapa dear khantwe 🥲Anapost sasa hivi kwani
Amesema anajiripua sasa hivi. Tusubirieni tuAnapost sasa hivi kwani



🤣🤣🤣🤣nimeuliza tu nilihisi nimesoma vibaya
Eti anakunywa pombe🥲Hata mimi haijaniingia akilini
Zinavuta uwepo wa MunguHizi tenzi ziimbwe na mtiwa mafuta Mbarikiwa Mwakipesile sasa uwiii. Ibada ya ajabu. Nimezikusanya karibia zote na nikiwa na safari ndefu hata ya masaa 10 nikiziweka najua tu kuwa nitafika salama!
Mjep umenihujumu jana🤣Bahati yako njema leo
Hongera
Loohh!pole kipenzi!!!reymage fanya chap basi nitaingia kwenye majukukumu ndani ya dk 2zijazo




habari yangu ni poa.jana ukanichomesha mahindi victoriaNiko gudo rafiki habari zawewe!!
Ebu rudiaWeewee!!tunaambiwaga jf wadada wa jf wote wabayaa!!!
kawaida tuuu!!!tupo tupo tu!!!hatuna mbele wala nyuma
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Mtu chakehabari yangu ni poa.jana ukanichomesha mahindi victoria
Ebu rudia
Nifanye kuthaminisha
Kisha nitakuambia






looohh!nna sura ya mjomba bestiMimi nipo hapo kwenye wasio na hela