cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,132
Dogo upooo?au ushakufaa?!!




nipo mie jomonee cc, 


Nahisi ukubwa unanielemea, maana mambo yanakua jambo.
Dogo upooo?au ushakufaa?!!




nipo mie jomonee cc, 


unakunywa nn vile rafiki nikumbusheAsante rafiki..fanya kuniagizia nakuja






akati anajichezea mwenyewe. uzee mbaya kama huna helaaa.. ndio maana tunaambiwa tutafute pesaa sasa hivi badae tusione uzee hauna maana
![]()







usinichekeshe mie. Khaaaah🤣🤣🤣🤣! Situmii kilevi chochote rafiki niagizie utachoona kitanifaaaunakunywa nn vile rafiki nikumbushe
Hii nimeiwahi ✌
hahahaha umepata rafiki.,karibu🤣🤣🤣🤣! Situmii kilevi chochote rafiki niagizie utachoona kitanifaaa
sitaki lazima tuonane mama malezi.
Mtoko wa wapi tena?
Lol itakua ulimvuruga wewe akili yako unaijua mwenyewe!![]()





wivu mbaya sana. JomoneeehNaona na Shimba Ya Buyenze ameinyaka..Hii nimeiwahi ✌
😜😜😜! Leo namie Natoka kidogoMtoko wa wapi tena?
Shimba Ya Buyenze kaipata hii kama hajaipata nitamgawiaNaona na Shimba Ya Buyenze ameinyaka..
Nahisi JF doctor, yaan kibamia chake kinavimba ktk urungu, afu kinatoa mapele yanatoa usaha, hata sjui ni homa gan, watu wanastaajabu huko hatareeWeee wapi huko?? Jf doctor?? Sijaona shoo





🤭🤭🤭Jizazi![]()