Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378
Naam! Nimeiwahi Boss Lady. Furahia mtoko wako na hubby. Maisha ni haya haya hakuna mengine!Naona na Shimba Ya Buyenze ameinyaka..
Naam! Nimeiwahi Boss Lady. Furahia mtoko wako na hubby. Maisha ni haya haya hakuna mengine!Naona na Shimba Ya Buyenze ameinyaka..
uko wapi nije unipe kampani ktk lindo rafiki
Nimeinyaka mkuu. Nyingi huwa zinanipita ila leo bahati iko upande wanguShimba Ya Buyenze kaipata hii kama hajaipata nitamgawia
! Leo namie Natoka kidogo
Hongera mkuu, leo hujacheza mbaliNimeinyaka mkuu. Nyingi huwa zinanipita ila leo bahati iko upande wangu
Weee hakuna kutoa ya mtu bila ridhaa yake!! 👈👈Shimba Ya Buyenze kaipata hii kama hajaipata nitamgawia
hapa natuma selfie pm,mmmh
Siwezi kutoa mkuu bila ruksa, ni lazima niombe ruhusa yako mkuuWeee hakuna kutoa ya mtu bila ridhaa yake!! 👈👈
Hahaa... Kimbia fastaaa usije ukachoka mapema ndokwanzaaa january!





hapa natuma selfie pm,mmmh
Siwezi kutoa mkuu bila ruksa, ni lazima niombe ruhusa yako mkuu
Ooopsss bosi jamaniiii!!! Kula ushibe vizuri ukuwe nanguvu bosi wangu si niko nakuja banaaa wee kula kula na Tena tu
!






Ata sielewi... akienda hospitali watampa dawahivi ni homa gani ile? Afu ndo kuna kiumbe ananyonya ule urungu, c kupeana fangasi za ulimi na kansa ya koo lol.
hahahahaNitumie rafiki... nitumie
Mama Mchungaji. Siku ukikutana naye Nguzo Camp jaribu kumshawishi huko laivu labda atakukubalia kuselfika humu!Hongera mkuu, leo hujacheza mbali
Tuendelee kumshawishi na mama mchungaji
Nywele au rasta?
Eeeeeeeh hapo sasa




Mama mchungaji Heaven Sent tazama vijana wako tunavyoteseka hebu fanya namna Nkamu...Mama Mchungaji. Siku ukikutana naye Nguzo Camp jaribu kumshawishi huko laivu labda atakukubalia kuselfika humu!
Nimepambania sana picha zikawekwa lakini nikachelewa kwa sekunde chache nikazikosa. Maumivu yake mpaka leo hayajapona!