ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,388
- 118,832
Nime-scroll hata sijaona ile picha yetu. Fanya kuituma basi watu wafaidi...Ex darling do the needfull basi.
Nime-scroll hata sijaona ile picha yetu. Fanya kuituma basi watu wafaidi...Ex darling do the needfull basi.
Zipo huko juu nyingi tu.Nime-scroll hata sijaona ile picha yetu. Fanya kuituma basi watu wafaidi...
Nimerithi kabisa yaani.Yaani mimi kabla hata kuku hawajalala mie shajifungia ndani
Halafu hata sitamani. Kuna kaka yangu ananiitaga "utumbo" eti najifungia sana ndani.
Mdogo wangu usiniambie nawe umerithi?



hapo naenda kulia nyumbani. 










Bado wewe.Ila huyu Mshana lazima ana dawa, hadi sura watu wameziweka live, dadeq.
Arosto tuu auntie
Uchawi unaanzaga hivi hivi, mie nakomaa na kiporo halafu mambo gani haya tunaonyeshana!!!
Mkubwa mara mbiliPole sana. Ukiwa mkubwa utakua huru na wewe




. Sijaona hata moja, fanya ile ya jeans na t-shirt tuwehuke ex darling.Zipo huko juu nyingi tu.
Jamani jamaniiSitaki![]()
Ili ugundue nini?
Ila huyu Mshana lazima ana dawa, hadi sura watu wameziweka live, dadeq.

Ngoja nikameze Smirnoff kwanza!!Bado wewe.



Leo nyerer Day tukajiandikishe kwanza
Naomba nikupende kwa mara ya pili

Nimerithi kabisa yaani.
Kagiza kakianza kuingia ukitaka kuja kwangu hamna haja ya kuniuliza kama nipo maana ni lazima niwepo na milango yote nimefunga.
Hivi viwanja sivijui hata vinafananaje yaani. Nikisema leo sipiki acha nikachome kuku au pizza nikifika namwambia funga kabisahapo naenda kulia nyumbani.
Basi wananisemaga ila ndio hivo sibadiliki yaani wameishia kuniita "mama mchungaji"![]()





Mkubwa mara mbili.
Sema ushamba ukinitoka.
Mara ya kwanza iliyeyuka etiNaomba nikupende kwa mara ya pili![]()