Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,974
- 177,195
Hahahaaa...na vingine nimeonaaa!!Umeona kiyoyozi tu 😀😀😀
Hahahaaa...na vingine nimeonaaa!!Umeona kiyoyozi tu 😀😀😀
ayaaaaaaa 😊😊😊Hahahaaa...na vingine nimeonaaa!!
Ndiwoooo!!ayaaaaaaa 😊😊😊
sema thuuuu 😀😀😀😀Ndiwoooo!!
cocastic unachelewaaaaaaa!!Selfika basi.. nipo nakula upepo baada ya kupasha kahawa..
View attachment 2083808
ahikubariki hii, unanisajiri kwenye chama cha umbeya alafu wewe utokeee![]()




wee ucnambie, hivi mie niache umbea na ufukunyuku? Hapana kwa kweli lol. Jomoniii.. tuongeze speed kula ujana.. uzee hekima na kucheza na wajukuu.. na ibada mwisho wa siku za ujana wetuu sie eti![]()




wee kula ujana wa kulala hotel kubwa kubwa, Hahahaaa... Hiki kiswaswadu ndio kila kitu shoo..ndio kula yangu kazi yangu ndio ajira yangu ndio maisha yangu hapo wee kione kipokipo tu..simu zotee naeza zima ila Sio hio simu!!




kumbe tupo wengi eeeh, cm ndogo angu imepasuliwa j2 usiku. Hapa nawaza kununua mpya afu niificheNipo powaaaa kabisaaa.. 😊😊😊😊.. usingetoka ningeshika miguu hiyoo 😀😀😀wee ucnambie, hivi mie niache umbea na ufukunyuku? Hapana kwa kweli lol.
Vipi uko poa wee?
Juzi nimepita mitaa hiyo
😁😁😁 natoboa mwaka nikiwa hoi hoi.. maana naona wenzangu na pisi zao ng'ari ng'ari mie naishia kujilamba midomooo na lips.. looowee kula ujana wa kulala hotel kubwa kubwa,
Huku kungine waachie wengine bas.