Watu huwa ni wabishi sana, mie huwa nawataja surname tu , ukitaja kabila hawaamini .Maana hapo ataanza kusema mbona watu kabila hilo hawapo hivi ? anauliza tena umefanyiwa FGM ?
Watu huwa ni wabishi sana, mie huwa nawataja surname tu , ukitaja kabila hawaamini .Maana hapo ataanza kusema mbona watu kabila hilo hawapo hivi ? anauliza tena umefanyiwa FGM ?
Ninavyojulikana hivi, angeshajitokeza wa kunisifia. Ukiona kimya, ujue kila kitu ni "personal". Kama yule mpendwa aliyesema wadada wa humu tuna features za ki-wife material.