Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa komandoo lazima tu wangechemsha. Ila uliwaonea na kuwadhalilisha tu kwa sababu walikuwa kazini. Ungenena na bosi wao mambo yakaisha kistaarabu badala ya kuwatandika. Ila jamaa ni waonevu sana!
 
Kweli lakini kujitoa kote huko mwishowe unasikia hakuna kama mama.
Wazazi wote wana mchango mkubwa kwa mtoto ni vile mara nyingi mama ndo anayekuwa karibu na watoto tofauti na baba .

Kuna mdau aliweka uzi humu kuwa siku moja mwanae alimuomba hela ya kitu fulani akamnyima baadae yule mtoto akamuomba mama yake hela , mama yake akampatia yule mtoto hela bila kipingamizi , mtoto akafurahi mno baada ya kupewa kile anachohitaji .

Kwa scenario hii huyu mtoto atajua baba ukimuomba kitu hakupi ila mama yeye ukimuomba hapo hapo anakupatia , wakati mama anapewa hela na baba , wadau walishauri kuwa jamaa ampe hela mkewe mbele ya watoto ili waelewe hela inatoka baba kwa na sio mama .

Jambo kubwa na la msingi ni kwa wababa kuwa karibu na watoto zenu yaani muwe marafiki nao hapo itadumisha uhusiano mzuri kati ya baba na mtoto .
 

Mjukuu wangu bado mdogo sana. Mwache akue kue kwanza bana!

Kumbuka kuwa ladha ya tunda lililochumwa kabla halijaiva na lile lililoachwa likaivia mtini inatofautiana. Vumilia!
 
Mjukuu wangu bado mdogo sana. Mwache akue kue kwanza bana!

Kumbuka kuwa ladha ya tunda lililochumwa kabla halijaiva na lile lililoachwa likaivia mtini inatofautiana. Vumilia!
We babu wewe, sasa nimuache akue vipi wakati mimi mwenyewe nina 27 si ndio nakuwa nae, kuhusu tunda ukiona halijaviwa kumbuka kuna wahuni wanalila na chumvi tena huko huko mtini!!
 
Hapana mdogo angu. Sio lazima kila mtu apitie magumu kwanza kwenye mahusiano ndiyo aje upate furaha. Wengine Mungu atawapa wa kuwadekea mapema sana.
 
Huyu kuku ht mi nisingekubali ule peke yako looh!
 
Couldn't agree more.
 
This is me...!!!binamu hua hukosei una akili sana!Fanya baasi tuonane!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…