Sio kweli, mbona wengine walokole damu damu.. ila maisha yanaenda na tupo nje ya box.. issue sio ulokole ni matatizo ya mtu binafsi.. yani huenda huyo mtu bado angekuwa kimeo... hata kama angekuwa hajaokoka
1 Wakorintho 6:12 Vitu vyote ni halali kwangu, lakini si vyote vifaavyo; vitu vyote ni halali kwangu, lakini mimi sitatiwa chini ya uwezo wa kitu cho chote.
πππ sikuwezi wewe.. uzuri nimejikuta sasa hivi napigwa dana dana na warembo wa jf kuonana nao, huku na mie nimeapa kutokutana na member yoyote wa jf nje ya jukwaani πππtunaanzia hapa tunaishia hapa