Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Itakuwa una nywele nzuri pia , wengine hapa ni kipilipili .Yaani
Mimi ni team natural,sipendi dawa.
Itakuwa una nywele nzuri pia , wengine hapa ni kipilipili .Yaani
Mimi ni team natural,sipendi dawa.
Itakuwa vyemaNitakusaidia kumpa pole
😂😂😂🙌Nitakusaidia kumpa pole
Nzuri wapi😂Itakuwa una nywele nzuri pia , wengine hapa ni ki pili pili .



Nzuri wapi
NAjitoa tu ufahamu na kujiamini.
Sasahivi nipo za minyoosho tu!Nataka nizikuze..natembea zangu na minyoosho na wasiwasi sina.
Itakuwa vyema
Mtu amebembela wee, muda wa kupewa hayupo khaaa


Hakuna waja wasumbufu km lasto boni!Home tukienda sisi ndio wenye nyumba![]()

Pep utaweza kweli purukushani za kale ka mama mtumishi kalastborn?Hakuna waja wasumbufu km lasto boni!![]()
Pole aseehPicha hii rafiki nilivyoungua .View attachment 2076196
Mtuache jamani.Siziwezi miye mwee!wanadeka balaa!tunae home yaani kaahh!nshachoka
Asante sana.Pole aseeh
Yaani anakula mbata kwangu hakai anakimbiakimbia daily!hahaha kudeka kwa wazazi wake tuMtuache jamani.
Kudeka ni haki yetu,ipo kikatiba kabisa![]()
Hapo ndipo panafanya niwe na kipilipili tuuAsante sana.
Kukaa kwenye dryer tu kunachosha .Hapo ndipo panafanya niwe na kipilipili tuu
Last born tunaonewa sana sijui kwa niniMtuache jamani.
Kudeka ni haki yetu,ipo kikatiba kabisa![]()
Siyo kweli. Lasti boni tuko vizuri sana. Malaika wa MunguHakuna waja wasumbufu km lasto boni!![]()

Mnakuwa tu na wivu vile wazazi wanavyotu treat, hakuna lingine!Hakuna waja wasumbufu km lasto boni!![]()