Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Damu si tatizo , watu wanakucrush humu .Tulia kwanza basi...hakuna wa kuitwa hapa coz nna dam yangu naijua mwenyewe![]()
Damu si tatizo , watu wanakucrush humu .Tulia kwanza basi...hakuna wa kuitwa hapa coz nna dam yangu naijua mwenyewe![]()
Unajua kukataliwa hadharani inauma aisee!!Haya bhana uliona
Liverpool hao😂😂😂Usiwasemee watu Anne, kwanza we umekuwa mchokozi sana. Amekufundisha nani hizi mambo?
Ndiyo maana unamtesa mwenzioMimi pia last born ujue
Liverpool hao
Mbona mimi nakutaka Eli?


hem ukae kwa utulivu basi.Naelewa inavyouma nisameheUnajua kukataliwa hadharani inauma aisee!!
Halafu kuna mahali nilisoma eti ana uchibonge flani hiviNdiyo maana unamtesa mwenzio



Basi hata ungenikatalia kule piemuni isingeniuma hivi...haha!Naelewa inavyouma nisamehe
Chaaa🥺Picha hii rafiki nilivyoungua .View attachment 2076196
Mule mule unamotaka😁Halafu kuna mahali nilisoma eti ana uchibonge flani hivi![]()
🤣🤣🤣🤣hem ukae kwa utulivu basi.
Huyu mkongo leo kanipaka dawa nyingi ...Chaaa![]()
Yani inawezekana kabisa ikamkosa .Utashangaa picha inampita tena![]()
Yaani😔Huyu mkongo leo kanipaka dawa nyingi ...
Akahisi mimi nataka baby hair .
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Utashangaa picha inampita tena![]()
Yani inawezekana kabisa ikamkosa .
Aisee!