Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi Mungu anataka niwe kundi hilo la 3 na nimekuja kuambiwa waziwazi,
Tena kwa msisitizo kwamba nisichanganye mambo,na nikichanganya basi yote yataharibika...
Basi tu kujitoa ufahamu.


Hapa naumiza kichw nifanye nini niwe stable ,,nawaza na kuwazua...
Ukiniombea hebu tupia kaombi kangu kwa Mungu,Anikumbuke ,,,bado napambana ,,,bado sijapata kazi nzuri,bado sina maisha yanayoeleweka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…