Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Kwaiyo ndio kusema mkeka umechanika 🙄🙄🙄Hahaha.. mngejua nipo na familia nzima msingesema! Tutasalimiana dakika chache kama jf family!
Kwaiyo ndio kusema mkeka umechanika 🙄🙄🙄Hahaha.. mngejua nipo na familia nzima msingesema! Tutasalimiana dakika chache kama jf family!
Haha mgeni yoyote ni vema kukarimiwaJamani.. mapendo. daima, daima. mapendo huo ni upendo na ukarimu wa kisukuma msiwaze maengine 🙂🙂
Japo hainihusu..... ila nimependa sana huu ushauri wako dada acha niuhifadhi....
Ameen kubwa sanaSawa nitakuambia
Ngoja tumsikilize Roho wa Mungu.
Nitamshirikisha pia dada mkubwa HS.
Nilikua nawazoom tu hahaha!! 2 kids nadada yao juu!😳😳😳🙄Kwaiyo ndio kusema mkeka umechanika 🙄🙄🙄
Daddy akihusika nalegeza msimamo
Huyo daddy wako naye tutaungana naye,mbona mtakoma.
😁😁😁.. Safii kabisaa, tunapenda ugeni mkubwa kama huoo..Nilikua nawazoom tu hahaha!! 2 kids nadada yao juu!😳😳😳🙄
YaniiiVyenyewe tu ndiyo vitoto, wenzao sio![]()
Hahaha... Mkeka umechanika na kutupwa kabisa ushaozaaa,🤣🤣🤣!Kwaiyo ndio kusema mkeka umechanika 🙄🙄🙄
🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka sana mana Mchungaji wallahHallelujah
Siku yenyewe sasa ya mtu kuvaa shela; wala sitohitaji kujitambulisha; utasema tu hakika yule ndiyo Mama Mchungaji buana; Nigeria sio Nigeria, Mwakaleli sio Mwakaleli; yaani![]()
Halafu bado natafuta confidence nikupigieNimecheka. Ila if you bag yourself a good man now.....(uning'ate sikio)
Yeah huu ni muda wako wa ku-add value kwenye maisha yako. Una ndoto, maono na matamanio yako; ndiyo muda wenyewe sasa. Kesho ukishakuwa na familia; ulichokifanya na kukijenga leo ndiyo kitakuja kukusaidia huko mbeleni. Unaweza ukaja kulazimika kuacha kazi/biashara, kwa sababu ya familia. Ongea thamani kwenye maisha yako sasa...
Above all; ukishaolewa, mnaanza kuishi maono ya mume sio ya kwako tena. Atalitimiza kusudi lake, huku wewe ukiwa msaidizi wake mkuu. Mchungaji wangu alikuwa anatusisitiza sana tupambane angali tukiwa mabinti; kuna muda ukiwa na watoto hata muda wa kuomba vizuri huupati. Hata kuombea watoto wako, waombee kuanzia leo kabla hata hawajaja. Akiba yake itakusaidia sisi utakapopigwa na hata hiyo nguvu ya kumuombea huyo mtoto ukaikosa.
Alikuwa anatuambia. Kuna aina 3 za wanawake waliofanikiwa
1. Ambao hawajaolewa
2. Walioachika/kufiwa.
3. Waliofanikiwa kabla hawajaolewa
To be continued.....
,sijui naitoa wapi akiyanani...hadi leo sijaipata
Kwakweli
Pigo zetu zinajulikana.
Asikutishe huyo.Inakuwaje sis darling?

Dah! 🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️Hahaha... Mkeka umechanika na kutupwa kabisa ushaozaaa,🤣🤣🤣!
Nilitaka niseme vi last born vikioana vyenyewe. Hapo ni kusukumiziana majukumu, kulalamikiana na kujiliza liza na kujidekesha. Kila kamoja kanataka attention kwa mwenzie. Hadi rahaInakuwaje sis darling?
Mimi Mungu anataka niwe kundi hilo la 3 na nimekuja kuambiwa waziwazi,
Tena kwa msisitizo kwamba nisichanganye mambo,na nikichanganya basi yote yataharibika...
Basi tu kujitoa ufahamu.
Hapa naumiza kichw nifanye nini niwe stable ,,nawaza na kuwazua...
Ukiniombea hebu tupia kaombi kangu kwa Mungu,Anikumbuke ,,,bado napambana ,,,bado sijapata kazi nzuri,bado sina maisha yanayoeleweka.
Halafu bado natafuta confidence nikupigie,sijui naitoa wapi akiyanani...hadi leo sijaipata
![]()
Ni marufuku mtu mwingine kujitawala sana hadi kumzidi last bornHome tukienda sisi ndio wenye nyumba![]()
Dodoma ni pazuri sana