Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Ooh vyemaHiyohiyo moja. Niliipost mara ya kwanza, ikawa na mushkeli so nikaifuta, afu nikaipost vizuri sasa.
Yes niliupata dear, ahsante sana
Ooh vyemaHiyohiyo moja. Niliipost mara ya kwanza, ikawa na mushkeli so nikaifuta, afu nikaipost vizuri sasa.
Yes niliupata dear, ahsante sana
Ntamfata huko huko alipo😅 yani shemela anifanyie siasa hata mimi! Ni nomaKatafute kiti kwanza ukae
Anakuchomesha mahindi huyu hutaamini.
Hahaha kumbeTena ni tatu siyo mbili
Mbili vipande,moja full...asije wapiga kamba.
Hahaha kumbe
Ujue jf inachanganya kutuma picha yaani unaweza kutuma hata 4 ,unahisi umefuta wapi .
Ah !Ntamfata huko huko alipoyani shemela anifanyie siasa hata mimi! Ni noma

Alituma zote...anakupiga kamba hapo.Hahaha kumbe
Ujue jf inachanganya kutuma picha yaani unaweza kutuma hata 4 ,unahisi umefuta wapi .
Na yeye pekee ndo alishuhudia pichaAnakupiga na kitu kizito
Na yeye pekee ndo alishuhudia picha
Ukiingia jukwaa la siasa kuna mtu atakukera tuUtakuwa ulileta shida mahali extrovert.
Tangu nimejiunga Jf Mpaka sasa siijui ban inafananaje aise
Nkamu.......Mwee![]()
Wengine waliona awamu ya pili.Na yeye pekee ndo alishuhudia picha
Yeye pekee wapi, waliziona wengi tu na si umeona wamekaa kimya. Yeye ni huo upambe wake tu, binti mpana huyu khaa




Kweli ulibahatika kuona mara mbili .Wengine waliona awamu ya pili.
Mteule niliona awamu zote ya kwanza nanya pili.
Sipendi siasa wala kujibishana Na mtu Na ndio maana hunikuti nikisema chochote unaweza kujua sipitiagi hayo majukwaa ee😁😁nayapitia Kwa ukaribu mkubwa mno lakini kimya kimya nikiguswa sana nitalike tu.Ukiingia jukwaa la siasa kuna mtu atakukera tu
Hahahahahahah 😅Sipendi siasa wala kujibishana Na mtu Na ndio maana hunikuti nikisema chochote unaweza kujua sipitiagi hayo majukwaa ee😁😁nayapitia Kwa ukaribu mkubwa mno lakini kimya kimya nikiguswa sana nitalike tu.
Ubishi kama wa Saint Anne aise sijawahi kubarikiwa nao😀😀
Ulifanya surprise maana waliona watu wachache .Yeye pekee wapi, waliziona wengi tu na si umeona wamekaa kimya. Yeye ni huo upambe wake tu, binti mpana huyu khaa
sample PM amevaa gauni la kitenge though picha ni black and white ila frem inasomeka..Nichoree basi nimuone
Yaani zote 2Kweli ulibahatika kuona mara mbili .