Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Hii imekuwa riziki; nimeiwahi kabisa. Ahsante sanaitakuwa sio riziki maana nimeweka na nimefuta tena![]()
Kwa hiyo; hiyo ndiyo sauti ya paa mwenye upaa?


Hii imekuwa riziki; nimeiwahi kabisa. Ahsante sanaitakuwa sio riziki maana nimeweka na nimefuta tena![]()


😬😬😬 Unatumia JF gani ambayo haijafuta.. cheee.. Paa mwenye upaaaa wakeHii imekuwa riziki; nimeiwahi kabisa. Ahsante sana
Kwa hiyo; hiyo ndiyo sauti ya paa mwenye upaa?![]()
Wow...Ya 06:00 shekilango
Unatumia JF gani ambayo haijafuta.. cheee.. Paa mwenye upaaaa wake
Aisee una sauti nzuri sana .Unatumia JF gani ambayo haijafuta.. cheee.. Paa mwenye upaaaa wake
acha niingie studio eeh.. na mpendwa mwenzangu Saint Anne .. tutoe kitu 😂😂😂Aisee una sauti nzuri sana .
Hakika una kipaji cha uimbaji .
Pendael24 kijana wa hovyo ana utani nawewe 🤣🤣🤣🤣!!👆👆👆👆apambane na hali yake
View attachment 2071215
Kumuimbia bwana ndio maisha yangu.. na ndio pumzi yangu...Hizi attachments nyingi; hadi niingie kwa browser ndiyo nazi-access. Umeifuta wakati mimi tayari naisikiliza
Sijui mimi nakwama wapi kwenye kuimba jamani; ngoja nibakie tu kuwa dancer... Very powerful voice daah. Ahsante.
Kesho naenda kwa ajiri ya hili hili jambo 😂😂😂😂😂.. dom kama dom.. imezizimaPendael24 kijana wa hovyo ana utani nawewe 🤣🤣🤣🤣!!👆👆👆👆
Nenda tu studio rafiki
Hio ndio habari kuu ya nchi! Saivi Ukigeuka ndugai ukilala ndugai! Msisahau kuselfika tu!Kesho naenda kwa ajiri ya hili hili jambo 😂😂😂😂😂.. dom kama dom.. imezizima






Kumuimbia bwana ndio maisha yangu.. na ndio pumzi yangu...
View attachment 2071218
Umegoma kuweka kapicha 😬😬Hio ndio habari kuu ya nchi! Saivi Ukigeuka ndugai ukilala ndugai! Msisahau kuselfika tu!
😁😁😁 Good things 9.8ms squared ni worshiper ( emotion - songs ).. we bow down, we bow before your throne, we worship you King of the kings.. as..... 4 living creatures worship you in heaven,....... we worship you...... hii ukinikuta kwenye mood.. 😁😁😁😁😁😁 ni
🤣🤣🤣🤣🤣! 🚶🚶Umegoma kuweka kapicha 😬😬
Unaninyanyasaaaaaaaaaaaaa 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 na picha 😢😢😢😢😢🤣🤣🤣🤣🤣! 🚶🚶
Mimi ni worshipper.
Hahahaaa.... Leo twapata neno la mungu.... Neno la uzima!Unaninyanyasaaaaaaaaaaaaa 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 na picha 😢😢😢😢😢