Barn
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 2,733
- 4,044
Umepata mkuu, tukuyu hapoGreen city
Umepata mkuu, tukuyu hapoGreen city
Tupo wengi , mimi nisipoenda kwenye maombi napotea njia kabisa .Mimi nimezidi.
Halafu ni uzembe tu wala hakuna sababu.
Kumbe nimepatiaUmepata mkuu, tukuyu hapo
AmenTupo wengi , mimi nisipoenda kwenye maombi napotea njia kabisa . Hapa Pastor katoka kuniuliza kama nimewahi kufunga toka mwaka ulivyoanza , nimejishtukia sana .
Eeh Roho mtakatifu utuongoze kuacha njia zisizofaa , tufate yaliyo mema tu .
Hebu hiyo PC onesha vizuri lect, nimetokea kuielewa.



Huna class leo?Hebu hiyo PC onesha vizuri lect, nimetokea kuielewa.![]()

Nimetoka Co mda mbna, ila baadae pia nna class.Huna class leo?![]()


Unaifananisha naya Lecturer wako eeh?Nimetoka Co mda mbna, ila baadae pia nna class.
Hebu weka picha ya PC hiyo.![]()

Unaifananisha naya Lecturer wako eeh?![]()





nimecheka hapa mie. Hakna viumbe nawaogopa km lecturers hasa wanaonifundisha, na sitaki hata mazoea nao labda awe wa kike ndo ntamzoea kidg tena kwa mipaka. 



Usiwaogope ni watu wa kawaida sana. Kama umeipenda nakutumia specs zakenimecheka hapa mie. Hakna viumbe nawaogopa km lecturers hasa wanaonifundisha, na sitaki hata mazoea nao labda awe wa kike ndo ntamzoea kidg tena kwa mipaka.
Hebu weka picha kubwa ya PC hiyo, mie nimetokea kuipenda, pengine naweza enda nunua.![]()

Usiwaogope ni watu wa kawaida sana. Kama umeipenda nakutumia specs zake![]()



mie mgumu ktk uelewa wa specs, weka full tyuuh ya hyo PC jomoneee, mbna km kuna kitu unahis? 



Nahisi kuna jambo zaidi ya PCmie mgumu ktk uelewa wa specs, weka full tyuuh ya hyo PC jomoneee, mbna km kuna kitu unahis?
Weka tyuuh bhana nione picha.

Sasa weka PC hiyo bhana, sasa unaogopa nn wee Lect,Nahisi kuna jambo zaidi ya PC![]()



, hakna jambo lingne mie shida yangu kuona hiyo PC tyuuh.Tafadhali
hahaha anko job.kajisahau khs mhimili uliojichimbia mizizi nguvu yakeDuh mwendo wa Ndugai sasa![]()