Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee naweza hata kukaa mwezi 1 bila kujunjana? Ntakua kichaa mbna, cna starehe ingne zaidi ya kuhangaika na mkunyenge,
Cjapona vizuri bado, sasa na leo haya majaribu ntajikuta niko ghetton kwa mjuba wallah iv.
Mwezi mbona kiduchu, mnafanya hata exercise miezi mitatu hadi sita hivi kwa mwaka hata mala. mbili inatosha 😂😂😂😂japo sie mabingwa tunamaliza mwaka
 
Mwezi mbona kiduchu, mnafanya hata exercise miezi mitatu hadi sita hivi kwa mwaka hata mala. mbili inatosha japo sie mabingwa tunamaliza mwaka
Wee hebu niwache, muda wote huo nigundue nn? Mie naye tuko ktk mahusiano ya kuzagamuana, sasa tunakaa mwaka hatuzagamuani itokee nn?
Mie mwanaume asiyependa sex simtaki, heri aninyime pesa zake ila sio kojoleo lake wee hapo tutabebana
 
hiv nyie kwani KY. ina tatzo gan? Au matumizi yake kikawaida ni yapi? Wahuni wahuni watuwataki.
KY kazi yake ni virainishi, kwa watu walio wakavu, pia inatumika nyakati za upasuaji.. sasa yeye ana ukavu gani au ni dr hadi akae nayo ndani ghetoni 😂😂😂😂😂 wahuni tutadumu milele
 
Back
Top Bottom