Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Hongera..hata mazoezi nifanyeje mguu haupungui waaahiJuzikati nilinenepa nikawa kama tembo miguu ilikua mizito balaa weee nilikua napewaje mabango! Na navopenda kudeka deka sasa nikafanya diet saivi nashukuru maintain! !




