Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Wakubwaa wanafaidiìiiiHuo mfungo wetu wanawake wa vijijini hahaha....
Nikifunga hivihuwa inafunguka funguka so napendelea kuifunga shingoni naikaza haswa!View attachment 2067839
Wakubwaa wanafaidiìiiiHuo mfungo wetu wanawake wa vijijini hahaha....
Nikifunga hivihuwa inafunguka funguka so napendelea kuifunga shingoni naikaza haswa!View attachment 2067839
Labdaa...Kweli tena!![]()
OMG we mwanamke utawauwa watoto wa mwanamke mwenzio ujue🤣Huo mfungo wetu wanawake wa vijijini hahaha....
Nikifunga hivihuwa inafunguka funguka so napendelea kuifunga shingoni naikaza haswa!View attachment 2067839
HakikaNdo vizuri kama uko na furaha

🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸😜😜😜😜! Bosiii wewee 👈!!Wakubwaa wanafaidiìiii
Unasubiri nini kuhamia.. asee unachelewa... Binafsi mwezi huu wa pili nahamia mwanza kwa mda wa mwaka mmoja mfululizo 😂😂😂Ninaiman kunasiku nitahamia mwanza.ninapapenda sana.
Nitaongea NA daddy Shimba Ya Buyenze afanye namna hakuna jinsi
🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸😜😜😜😜! Bosiii wewee 👈!!Wakubwaa wanafaidiìiii
MnoooWakubwaa wanafaidiìiii
Asante nawe pia have a good and wonderful day!Siku njema sana mdada!
Wanaume wenye hela ndio wanafaidi, wanaume ambao tupo kundi la wa hovyo hovyo ni mateso.. tunaishia kuzoom na ku screenshot kwa matumizi ya matamanioOMG we mwanamke utawauwa watoto wa mwanamke mwenzio ujue🤣
Wanaume wanafaidi jamani kha
Fanya ihusike changu lee hakuna namnaJf money hapo itahusikaaaa
Siaminiii nawewe wakuniambia hivo kweli!!😜😜😁😁!!OMG we mwanamke utawauwa watoto wa mwanamke mwenzio ujue🤣
Wanaume wanafaidi jamani kha
Hebu hamia vizuri vizuri niwe mgeni wako😋Unasubiri nini kuhamia.. asee unachelewa... Binafsi mwezi huu wa pili nahamia mwanza kwa mda wa mwaka mmoja mfululizo 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣hela zinatufanya kuwa watumwa! HahaWanaume wenye hela ndio wanafaidi, wanaume ambao tupo kundi la wa hovyo hovyo ni mateso.. tunaishia kuzoom na ku screenshot kwa matumizi ya matamanio
Ni ukorofi😂😂ukiitunza make shua unamlipa pesa yake maana najua utaifanyia kazi siku mojaWanaume wenye hela ndio wanafaidi, wanaume ambao tupo kundi la wa hovyo hovyo ni mateso.. tunaishia kuzoom na ku screenshot kwa matumizi ya matamanio
Kila mtu ni mtumwa kwa jambo flani.. ila anafaidi brother kaka anekula hizo lips.. watoto wadogo acha tutulie tusikosee adabu mali za makaka wetu🤣🤣🤣🤣🤣zinatufanya kuwa watumwa! Haha
Ohooo nimepitiwa na mwandiko.Ila kuna wanaume wanafaidi jamani ukunjwe vizuri 🙆🏿♀️Siaminiii nawewe wakuniambia hivo kweli!!😜😜😁😁!!
☺️☺️ picha tunalipia kwa mafungu, sasa bado fungu la picha zake kulipiwa hazijafika idadi yake.. akazane kazane kurusha 😂😂😂Ni ukorofi😂😂ukiitunza make shua unamlipa pesa yake maana najua utaifanyia kazi siku moja
Na anajitahidi mno mwaka huu..ajengewe sanamu lake☺️☺️ picha tunalipia kwa mafungu, sasa bado fungu la picha zake kulipiwa hazijafika idadi yake.. akazane kazane kurusha 😂😂😂