Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,105
- 35,136
TenaaAcheni basi ukuda hebu kaogeni tafadhali![]()
TenaaAcheni basi ukuda hebu kaogeni tafadhali![]()
Nimeoga nikapaka mafuta kabisa nimesubiri mpka nimepauka Tena🤣🤣!!Watu hamsahau jaman 🤪
UniombeeSawa mkuu nimekuelewa.
Wavunje Na vishoka😁Mkanawe uso mje mmefuta maji yote usoni na mmepaka mafuta sura zimeng'aa ... Natuma hadi suraaaa 🤣🤣🤣🤣🙄🙄🙄!!!
Hakii Umetuweza!Wavunje Na vishoka😁
Kaoge tena upake mafuta usisahau kusugua miguuNimeoga nikapaka mafuta kabisa nimesubiri mpka nimepauka Tena🤣🤣!!
Bwana awapenda wampendao na wamtafutao kwa bidii watamuona.Uniombee
Jamani msilale natupia hivyooo😁😁Hakii Umetuweza!
Jamanii 🙌🙌🙌!! Imenipita hiooo😴😴😴😴Kaoge tena upake mafuta usisahau kusugua miguu
2022Bwana awapenda wampendao na wamtafutao kwa bidii watamuona.
MwambieChakorii Sie watu wazima ujueee!
🤣🤣🤣😂 Iko njiani inakuja.kaeni Kwa utulivuChakorii Sie watu wazima ujueee!
Kaeni Kwa utulivu jamanMwambie
Ametuchomesha mahindi hadi saa 7 hii watu tumekaa kama mapopoChakorii Sie watu wazima ujueee!
Ukute ndio Yesu anarudi kutunyakua..2022
Kazi ipo
Yaniii...Ametuchomesha mahindi hadi saa 7 hii watu tumekaa kama mapopo
Niende wapiUkute ndio Yesu anarudi kutunyakua..
Wewe utaenda au utabaki?

Anachotufanyia sio poa kabisa watu wazima tangu saa nne tulioga tena ona katuweka mpka saa Saba hii !!Mwambie