Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Lipo dumu zimaUkinikaribisha kwa juice ya embe namaliza jagi zima
Usiogope

Lipo dumu zimaUkinikaribisha kwa juice ya embe namaliza jagi zima

Achana na mipombe
Shem darling najaribu kuulizia lokesheni Kwa Sauti ya upole kabisa😃Yes Shem Darling...
Dunia hii haina usawa,
Nipo najiuliza hesabu ndogo moja kujumlisha moja ni kitu gani sipati majibu..au nipachike log,nisome kwenye f.table!
Walioelewa tusaidie basi.


, well tetesi sio nzuri kuhusu mama


📌Ni ushauri tu,siyo lazima ukaufwata japo ni muhimu ukaufwata.
Hizi pombe zitakupoteza bwana.
Daaah, hata the foregone ilianza tetesi mkuu before it were made publicNini comrade!
Location inabadilika soon....Shem Darling upo mjini hapa?Shem darling najaribu kuulizia lokesheni Kwa Sauti ya upole kabisa![]()
Naacha MamaAchana na mipombe
Njoo unywe juice.

Hatujamaliza hata one admin11? Sijaelewa
Shem Darling nipe location

Hesabu yako ilinipiga chenga kabisa ,nikajiona kilaza., well tetesi sio nzuri kuhusu mama
Nafkiri umenielewa
Na kwenye social networks zake amepost last 5 days hajaonekana tena

Wakishua kama kawaida yako
Emoj ya kilio ya nini sasa wakati upo kuzibugia hapo.Naacha Mama![]()
Nakunywa maji tuEmoj ya kilio ya nini sasa wakati upo kuzibugia hapo.
Yes Shem darling nipo mjiniLocation inabadilika soon....Shem Darling upo mjini hapa?