Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,494
- 235,183
Lipo dumu zimaUkinikaribisha kwa juice ya embe namaliza jagi zima
Usiogope[emoji56]
Lipo dumu zimaUkinikaribisha kwa juice ya embe namaliza jagi zima
Achana na mipombe[emoji39]
Shem darling najaribu kuulizia lokesheni Kwa Sauti ya upole kabisa😃Yes Shem Darling...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787], well tetesi sio nzuri kuhusu mamaDunia hii haina usawa,
Nipo najiuliza hesabu ndogo moja kujumlisha moja ni kitu gani sipati majibu[emoji23][emoji23][emoji23]..au nipachike log,nisome kwenye f.table!
Walioelewa tusaidie basi.
📌Ni ushauri tu,siyo lazima ukaufwata japo ni muhimu ukaufwata.
Hizi pombe zitakupoteza bwana.
Daaah, hata the foregone ilianza tetesi mkuu before it were made publicNini comrade!
Location inabadilika soon....Shem Darling upo mjini hapa?Shem darling najaribu kuulizia lokesheni Kwa Sauti ya upole kabisa[emoji2]
Naacha Mama[emoji26]Achana na mipombe
Njoo unywe juice.
Hatujamaliza hata one admin11? Sijaelewa
Shem Darling nipe location[emoji4]
Hesabu yako ilinipiga chenga kabisa ,nikajiona kilaza.[emoji1787][emoji1787][emoji1787], well tetesi sio nzuri kuhusu mama
Nafkiri umenielewa [emoji17][emoji17][emoji17]
Na kwenye social networks zake amepost last 5 days hajaonekana tena
Wakishua kama kawaida yako
Emoj ya kilio ya nini sasa wakati upo kuzibugia hapo.Naacha Mama[emoji26]
Nakunywa maji tuEmoj ya kilio ya nini sasa wakati upo kuzibugia hapo.
Yes Shem darling nipo mjiniLocation inabadilika soon....Shem Darling upo mjini hapa?