Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Chap kabisaChaaap ndugu yangu
Chap kabisaChaaap ndugu yangu
Dunia hii haina usawa,Jamani hizi tetesi ni za kweli? Daaah,
Mungu tujaalie watanzania kama ni kweli. 1+1?
Naona umemualika jamaa nyumbani kabisa ili umnyweshe hadi atambae
Jamaa ganiNaona umemualika jamaa nyumbani kabisa ili umnyweshe hadi atambae

Si huyo mwenye hiyo raba hapoJamaa gani![]()
My ex mchunguzi sanaSi huyo mwenye hiyo raba hapo
Mwaka mpya ndio mnashindilia vyombo zaidi yaaniMy ex mchunguzi sana
Yes Shem Darling...Shem darling
Kuna watu mmeshindikana kwa ulevi😒
Nimepunguza my exKuna watu mmeshindikana kwa ulevi![]()
Umepunguza wakati unaanza tu tar 1 na mipombe!🙆Nimepunguza my ex
Kuanzia tar 2 naacha kabisaUmepunguza wakati unaanza tu tar 1 na mipombe!![]()
Umeshakoroga mambo kuanza tar 1 na pombe.Kuanzia tar 2 naacha kabisa
Tar 31 nilikua busy na maombiUmeshakoroga mambo kuanza tar 1 na pombe.
Bora ungekunywa tar 31 hadi uzimie.
Ila maombi yako umekuja kuyavuruga sasa ma pombe tar 1🤦♀️Tar 31 nilikua busy na maombi
Leo sinywi sanaIla maombi yako umekuja kuyavuruga sasa ma pombe tar 1![]()

Shida siyo kunywa sanaLeo sinywi sana![]()