Doh basi nastop nowShida siyo kunywa sana
Namna unavyofungua mwaka ina matter sana siku za mbele itakuwaje.
Kwahiyo na mwaka huu unaendelea kuchoma maini na figo tena!
Punguza pombe aisee.Doh basi nastop now
We kweli unanipendaPunguza pombe aisee.

HihiiiiiiWe kweli unanipenda![]()
Ni ushauri tu,siyo lazima ukaufwata japo ni muhimu ukaufwata.We kweli unanipenda![]()
Nafata ushauri wako my exNi ushauri tu,siyo lazima ukaufwata japo ni muhimu ukaufwata.
Hizi pombe zitakupoteza bwana.

Hiyo emoj haitakuwa na maana yoyote kama hautafuata ushauri wangu.Nafata ushauri wako my ex![]()
Mkuu huyu ni wife materialHihiiiiii
Utaona changes my exHiyo emoj haitakuwa na maana yoyote kama hautafuata ushauri wangu.
Happy new year
Mungu wa mbinguni awalindeni.
Hata nisipoona ni sawaUtaona changes my ex
Hasaaa, fanya kweli maliza game.Mkuu huyu ni wife material
Sawa my exHata nisipoona ni sawa
Ila hasara itakuwa kwako na familia yako.

Ukinikaribisha kwa juice ya embe namaliza jagi zimaHappy new year 2022View attachment 2065254View attachment 2065256
Asante Mungu (Ngome yangu)
Wastahili sifa
Umeniokoa(mikononi)
Mwa watesi wangu wote
Baba asante (ngome yangu)
Wastahili (sifa)
Umemuabisha (ibilisi)
Endelea (kunilinda)
Kama mawimbi ya kifo yalinizingira
Hizo kamba za kuzimu zilinizingira
Hiyo mitego ya kifo ilinikabili
Toka mwaka jana mimi wanilinda
(Eeh Mungu)
Naona kibali chako leo nipo
(JEHOVA)
Wenzangu (wamekufa)
Mimi nipo (Amina
Wengine (wanaumwa)
Wameshindwa kufika
Yatupasa tuliofika tukusifu (Mungu wetu)
Kwa kuimba (tuimbe)
Tuimbe ( na tuimbe sana)
Kwa kucheza (tucheze)
Tucheze (na tucheze sana)
Mungu pokea sifa zote
Happy new year 2022View attachment 2065254View attachment 2065256
Asante Mungu (Ngome yangu)
Wastahili sifa
Umeniokoa(mikononi)
Mwa watesi wangu wote
Baba asante (ngome yangu)
Wastahili (sifa)
Umemuabisha (ibilisi)
Endelea (kunilinda)
Kama mawimbi ya kifo yalinizingira
Hizo kamba za kuzimu zilinizingira
Hiyo mitego ya kifo ilinikabili
Toka mwaka jana mimi wanilinda
(Eeh Mungu)
Naona kibali chako leo nipo
(JEHOVA)
Wenzangu (wamekufa)
Mimi nipo (Amina
Wengine (wanaumwa)
Wameshindwa kufika
Yatupasa tuliofika tukusifu (Mungu wetu)
Kwa kuimba (tuimbe)
Tuimbe ( na tuimbe sana)
Kwa kucheza (tucheze)
Tucheze (na tucheze sana)
Mungu pokea sifa zote
