Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Haha mbona zipo nyingi tu hapaPole sana mpendwa nimefurahi kuiona picha yako leo
Haha mbona zipo nyingi tu hapaPole sana mpendwa nimefurahi kuiona picha yako leo
Natamani niwe jirani yako
Kuna jirani yetu mmoja ni dereva wa hayo magari,ana mke wake na hawajabahatika kupata mtoto tangu tumewajua 2012.
Jamaa yuko happy tu kwake na haonyeshi kunyongo chochote ila hakaliki kwake.
Si ajabu ana michepuko huko nje na ana watoto wengi tu.

Hahah!Natamani niwe jirani yako
Nithibitishe uyasemayo![]()
Mbona mie sina kabisa ni sifuri, anatuchafua huyo 😁😁😁Hivi ni kweli hawa jamaa huwa hawana mwanamke mmoja??
Na wewe ni dereva wa malori?Mbona mie sina kabisa ni sifuri, anatuchafua huyo 😁😁😁
That pace is a walking pace mkuu hamna run ya 9'47" per km.
dereva ni dereva tu hata wa basi nae ni derevaNa wewe ni dereva wa malori?
Jana kashindwa kuja kula hennessyMbona mie sina kabisa ni sifuri, anatuchafua huyo![]()

Mimi nimeuliza kama unaendesha malori.dereva ni dereva tu hata wa basi nae ni dereva
Chalii shkamoo.That pace is a walking pace mkuu hamna run ya 9'47" per km.
Mimi hizo dakika 46 naenda km 11.
Mimi nimeoa leo kwa kweli ngoja ninyamaze tu🥰Haha mbona zipo nyingi tu hapa
Selfika sasa na wewe tukuone dereva wetuNigendako asante kwa upako
😁😁😁😁😁😁 jana kulikuwa ka vibe flani hivi.. niliganda tu pale
ndio naendesha malori ya mafuta 🙄Mimi nimeuliza kama unaendesha malori.
Oh kumbe!ndio naendesha malori ya mafuta 🙄


Safari moja huanzisha nyinginejana kulikuwa ka vibe flani hivi.. niliganda tu pale

