Dah story ntakutafuta au nije kwakoNini kimetokea?
Dah story ntakutafuta au nije kwako


nkamu tumechoka kukuomba kiupole sasa natumia mabavu.....Heaven sent nataka picha yako hapaNkamu, picha gani tena?![]()
NdiwooNdo uliko?
??????Mmmmmmmmh
!!??????
Zimia 🤣🤣🤣
Class mate...Frank MastonView attachment 2060154
Mtumishi hii mashine inatumika kufanyia nini
Huoni hayo mavitu yamechongoka chongoka. Ndiko huko wanapachika masindano yao chokonozi halafu wanaanza kukuchokonoa meno na fizi (eti wanakusafishaMtumishi hii mashine inatumika kufanyia nini
) ukitoka hapo huna hamu yaani. Ila nashukuru Mungu sina cavities wala nini pamoja na kukata miaka miwili bila kwenda kupambana nao. Ni kuswaki vizuri na kufloss mara kwa mara tu ndiyo njia nzuri ya kuzuia kuchokonolewa sana na hawa jamaa. Kuziba cavity tu unashomwa ganzi kwenye fizi dah 
Good luck!nkamu tumechoka kukuomba kiupole sasa natumia mabavu.....Heaven sent nataka picha yako hapa
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Miamba ya muziki wa Kongo enzi zetu ndiyo inaishia ishia sasa. Kuanzia Luambo, Tabu Rey, Madilu, Papa Wemba, Aurlus Mabele, Defao...kabakia Papa Mobimba Koffi angalau anazidi kulisongesha. Na sijui kama akina Diblo Dibala, Dalii Kimoko, Ngouma Lokitto na wengineo bado wana nguvu za kucharaza magitaa yao...End of an era for sure. Yaani gitaa linapigwa mpaka unalisikia kabisa hili hapa yaani...
R.I.P General Defao![]()
Huyu dogo changamotoFrank MastonView attachment 2060154
Umemaliza kila kitu mkuu....miamba ya muziki inaishia...miziki ya sasa kelele nyingi inavuma kwa muda mfupi...ila ukisikiliza famile kikuta, koza ni nyimbo zinazoishi miaka na miakaMiamba ya muziki wa Kongo enzi zetu inaishia ishia sasa. Kuanzia Luambo, Tabu Rey, Madilu, Papa Wemba, Aurlus Mabele, Defao...kabakia Papa Mobimba Koffi angalau anazidi kulisongesha. Na sijui kama akina Diblo Dibala, Dalii Kimoko, Ngouma Lokitto na wengineo bado wana nguvu za kucharaza magitaa yao...End of an era for sure. Yaani gitaa linapigwa mpaka unalisikia kabisa hili hapa yaani...

...karibu pm tuyajengePole sana..take heart...the Lord is close to the brokenhearted. He will wipe your tears away.