Mambo mengine wacha tu yakupite mdogo angu, especially ikiwa hayakuongezei chochote cha msingi, na wala hupotezi chochote usipoyafanya. Njoo tujaze nzi na Fanta
I have a friend pia ambae hatumii kabisa..hata tukiwa na girls day out wote tutakunywa hata vi wine yeye hagusi na hajawahi kuonja hata kifuniko..maombi yangu kwenu muendelee hivyo hivyo aisee. Mnakua na kau virgin kenu flani ivi spesheli..Respect