Nehi..Siyo kweli kabisa😁
Yani nikaoe mwanamke wa miaka 38 eti kisa ana upendo!!?
Miaka 38 anatakiwa awe na mwanaume mstaafu wawe wanapanga namna ya kutumia pesa za mafao,maana Kwa umri huo Tyr anakaribia menopause.
Umri huo wanakuwa bize kuwasha redio saa 6 za usiku kusikiliza vipindi vya chumbani,kuomba ushauri Kwa doctor maana anachelewa sn kulowana akiwa faragha,Hadi anapata michubuko😁😁, Doctor anmjibu awe anatumia bamia na nyanya chungu Kwa wingi,pia asisahau vipipi vya Zanzibar
Sasa Mimi na ujana huu ndy nikaoe wa miaka hiyo kweli FS? Jua linichome,nguvu za kiume zinisumbue nikirudi nyumbani mke nae matatizo rundo wakati wa kugegeda🤣🤣..kisa UPENDO!!
Ngoja Kwanza nikomae na kuku wa kienyeji under 25 huku mwananyamala Kwa njunju..Nikifika levo za kuitwa mstaafu nitatafuta hao above 35 wenye UPENDO 🤣