Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Tafuta majani yanayotakiwa kufukiza Chemsha jifukize usiku.Asubuhi kesho na jioni utapata ahueni kubwa sn. Niamini.Hapa nipo kitandan nguvu ya kufanya chochote sina, kutembea najivuta, kunyanyuka nafanya kujiburuza kwan, hii homa gan jaman.
Safi mrembo![]()





Uteme!
Lazima tukutie moyo
Haki kwenye mambo kama haya utatiwa moyo hadi basi![]()

Nimesikitika sanaMdogo wangu leo tu![]()
Nimtume boda?

Hahaha unajua havitemekiUteme!
Walevi ni wamoja sana
Haki kwenye mambo kama haya utatiwa moyo hadi basi![]()
SiweziUmebakia wewe kuonja![]()

Acha kuogopa tyuuh. Nenda hospitali wakakucheki ohooo!Wee pia ulivoumwaga vile ndo ilikua km hivi? Yaan hapa nilipo nawaza vitu vingi, hata sielew yaan kwa kweli, nabaki kuogopa tyuuh.


Ili muwe wengi!Lazima tukutie moyo![]()
Ex wako alikata tamaa mapema tu angekuonjesha hata Margaritas au Sangria.Siwezi![]()


On a serious note. Usikae ukajaribu pombe. Haina faida yo yote - hasa kwa mwanamke anayejitambua. Na hakuna faida hata moja utakayoipata kwa kuanza kunywa pombe. Hakuna!Atoe location nikampe moyo vizuriIli muwe wengi!
Alikataa tangu mwanzo.Ex wako alikata tamaa mapema tu angekuonjesha hata Margaritas au Sangria.
On a serious note. Usikae ukajaribu pombe. Haina faida yo yote - hasa kwa mwanamke anayejitambua. Na hakuna faida hata moja utakayoipata kwa kuanza kunywa pombe. Hakuna!

Mbona mimi ulikataa kunipa moyo wa kuonja?Atoe location nikampe moyo vizuri