Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

cc naumwa homa ya ajabu cjawah hata ona, ulimi wangu mchachu, yaan kila nachoweka nakisikia kichungu, nimejaribu sukari kulamba had nkatema, maumivu chini ya kitovu yaan nahis kiuno kinatak kujiacha, nmetapika mara 4 had saiv, natema tema mate hovyo, afu mabega yanauma km vile mtu kanipiga, kunyanyua kwapa swezi,

Jana usiku nlishikwa na joto kali, kitandani nliona panawaka moto, nkatoka nkashka chini nilale kwenye tiles nazo naona zina moto, nkatoka nkaenda sebulen kukaa kweny sofa haiwezkan, nkawa nazungka tyuuh sebulen huku nalia maumivu ya kiuno, mabega, kichwa, usingzi nmepata SAA 12 nmelala nmeshtka SAA 3 iv kutaka kutapika nlichelewa nkatapikia kitandan, yaan nahangaika tyuuh hapa. Halii hii ikiendelea had kesho naenda moro kwa dada.

Hapa nipo sina hata hamu ya kula,
Taratibu imeupiga mwingi
 
cc naumwa homa ya ajabu cjawah hata ona, ulimi wangu mchachu, yaan kila nachoweka nakisikia kichungu, nimejaribu sukari kulamba had nkatema, maumivu chini ya kitovu yaan nahis kiuno kinatak kujiacha, nmetapika mara 4 had saiv, natema tema mate hovyo, afu mabega yanauma km vile mtu kanipiga, kunyanyua kwapa swezi,

Jana usiku nlishikwa na joto kali, kitandani nliona panawaka moto, nkatoka nkashka chini nilale kwenye tiles nazo naona zina moto, nkatoka nkaenda sebulen kukaa kweny sofa haiwezkan, nkawa nazungka tyuuh sebulen huku nalia maumivu ya kiuno, mabega, kichwa, usingzi nmepata SAA 12 nmelala nmeshtka SAA 3 iv kutaka kutapika nlichelewa nkatapikia kitandan, yaan nahangaika tyuuh hapa. Halii hii ikiendelea had kesho naenda moro kwa dada.

Hapa nipo sina hata hamu ya kula,
Duh pole dear, uende hospital sasa ukacheki
 
Back
Top Bottom