Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Hakuna aja ya kupost pic yako now nina referenceAsante mkuu yani tumefanana mnoooooo!
Hakuna aja ya kupost pic yako now nina referenceAsante mkuu yani tumefanana mnoooooo!
🤣🤣🤣🤣🤣Hakuna aja ya kupost pic yako now nina reference
cc naumwa homa ya ajabu cjawah hata ona, ulimi wangu mchachu, yaan kila nachoweka nakisikia kichungu, nimejaribu sukari kulamba had nkatema, maumivu chini ya kitovu yaan nahis kiuno kinatak kujiacha, nmetapika mara 4 had saiv, natema tema mate hovyo, afu mabega yanauma km vile mtu kanipiga, kunyanyua kwapa swezi,Piga bia wewe upone




Nakwambia watu wamekunja hatari..hata karibu za uongo uongo hamna




wanatakiana tyuuh marry Christmas bila kuitiana homes.Polee kwa kuumwa shoo au u mjamzito??? Make preg nayo ina visa vyake sometimes!!??😳😳😳😜😜😜🤪Kabisaa yaan![]()
🤣🤣🤣🤣🤣wanatakiana tyuuh marry Christmas bila kuitiana homes.
Polee kwa kuumwa shoo au u mjamzito??? Make preg nayo ina visa vyake!!??![]()






shos ucnichekeshe hapa, yaan natema mate km kinyonga, nimekaa na kopo hapa natema humo. Hata sijui homa gan hii wallah. Sielewi hata.Pole sana Aisee! Hujaenda kuicheck ujue kisa???shos ucnichekeshe hapa, yaan natema mate km kinyonga, nimekaa na kopo hapa natema humo. Hata sijui homa gan hii wallah. Sielewi hata.
Hayaa mwambie namsalimia"Macedonia"
Mtoko wapi shos naona wee na doutie mko tayar kwa matembezi.



Wacha weee..shos ucnichekeshe hapa, yaan natema mate km kinyonga, nimekaa na kopo hapa natema humo. Hata sijui homa gan hii wallah. Sielewi hata.
Ndo hapa nawaza niende kwan dispensary nkajue tatizo nn.Pole sana Aisee! Hujaenda kuicheck ujue kisa???
Mungu ni mwema sote hatujambo saivi tushavimbiwa pilau na makolokolo ya sikukuu 🤣🤣!Akhsante sana
Vipi kwema lakini mkuu
Dalili za kuingia mimba changa hizo mkuucc naumwa homa ya ajabu cjawah hata ona, ulimi wangu mchachu, yaan kila nachoweka nakisikia kichungu, nimejaribu sukari kulamba had nkatema, maumivu chini ya kitovu yaan nahis kiuno kinatak kujiacha, nmetapika mara 4 had saiv, natema tema mate hovyo, afu mabega yanauma km vile mtu kanipiga, kunyanyua kwapa swezi,
Jana usiku nlishikwa na joto kali, kitandani nliona panawaka moto, nkatoka nkashka chini nilale kwenye tiles nazo naona zina moto, nkatoka nkaenda sebulen kukaa kweny sofa haiwezkan, nkawa nazungka tyuuh sebulen huku nalia maumivu ya kiuno, mabega, kichwa, usingzi nmepata SAA 12 nmelala nmeshtka SAA 3 iv kutaka kutapika nlichelewa nkatapikia kitandan, yaan nahangaika tyuuh hapa. Halii hii ikiendelea had kesho naenda moro kwa dada.
Hapa nipo sina hata hamu ya kula,![]()
Fanya uende kwanza !Ndo hapa nawaza niende kwan dispensary nkajue tatizo nn.