Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Heee😂😂Yaani inabidi nicheke tu..
Don’t try aisee
Hadi wewe umesema nisijaribu basi itakuwa kali
Heee😂😂Yaani inabidi nicheke tu..
Don’t try aisee
Umenikumbusha mbali sanaaa 😔😔😔😔.. haya maisha yalikuwa mazuri sana, yenye amani na furaha
Kwanini?Kati ya pombe zote za hovyo hiyo inaongoza. Ukiinywa bila mazoea inaweza kukuaibisha sana!
Kama soda ipi?Tamuuuu
Ningekula ugali na mboga za pembeni.
,kaka naye huwa anakula?Zaidi ya sodaKama soda ipi?
Inaendana na soda gani?Zaidi ya soda
Yenyewe ndio safiInaendana na soda gani?
😂sioni vizuri, naona msuko wa" twende kilioni" na shati la shule?
Nafanana naye?
sioni vizuri, naona msuko wa" twende kilioni" na shati la shule?






🤣🤣Umenchekesha, eti wadudu..Ningekula ugali na mboga za pembeni.
Hao wadudu,kaka naye huwa anakula?
Unazikuza nywele tena, ulizikata zile ndefuuuu nzuriiii kha! Roho iliniuma kama zangu vile
Ni mimi nimesuka twende kilioni.
Shati nyeupe wii![]()
Nilikata wiiiUnazikuza nywele tena, ulizikata zile ndefuuuu nzuriiii kha! Roho iliniuma kama zangu
Kaka anakula?Umenchekesha, eti wadudu..
Watamu haooooo..
