missyrose
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 3,014
- 7,337
Hapana mkuu..huyo ni mtu tu ninayemkubali.hiyo avatar ni wewe?
Hapana mkuu..huyo ni mtu tu ninayemkubali.hiyo avatar ni wewe?
Kama limeiva tayari nenda dispensary hasa private, mchague nesi mzuri akutumbue jipu. Usisahahu kuchukua namba ili aendelee kukushauri kuhusu pain killers za kumeza. Mrejesho Utaleta kule kimasiharani Kijana wa hovyo hovyoMiaka mingi sana sijapata mambo haya ya majipu, hili nalishangaa limetokea wapi.. limetibulia mambo yangu kabisaa.. hapa natamani nikalie kichwaaa
Najua jana umechoka sanaNipo hapa asante kwa kuniamsha bosi wangu!
Yaniii.. nimechoka balaa hapa ... Hope you are all fine daddii!!Najua jana umechoka sana
Mkuu umenikumbusha mbaliiiii kinomaaa....r.i.p bibi




jamaniiii!! Mimi pia amenikumbusha mbaliii...wa kishua hawawezi kuijua hii!!!
Just missing u 😔Yaniii.. nimechoka balaa hapa ... Hope you are all fine daddii!!
Hapa ndio kikatafutwe mkuu nipake, wengine hatupikagi.. vitu kama hivyo ngumu kuwa navyo ndani 🙁🙁🙁..Saint Anne naamini azuma inazidi kuiweka sawa omicron, get well soon tunakuhitaji kesho ukiwa na afya njema.
Kijana wa hovyo hovyo naamini ulifanyia kazi ushauri wa wadau humu na ulipata kitunguu saum na unaendelea vizuri.
Saint Anne kanikazia anaweza sana kuhudumia ila kachomoa.. nipo napambana nalo tu hapaKama limeiva tayari nenda dispensary hasa private, mchague nesi mzuri akutumbue jipu. Usisahahu kuchukua namba ili aendelee kukushauri kuhusu pain killers za kumeza. Mrejesho Utaleta kule kimasiharani Kijana wa hovyo hovyo
Na hasa ukiwa hujazoe kuugua, inapotokea umeugua ni shida sana. Inafikia huelewi kituUzuri wa jipu likiiva na kukamuliwa tu kwisha kazi siku hiyo utalala usingizi mtamuuu na baada ya siku kadhaa kidonda kishakauka. Ila siku mbili tatu kabla halijaiva ni kamuziki safi kwa kweli. Pole aisee!
Nimejiona shujaa nikatoka kwenda kwenyw mishemishe..Saint Anne naamini azuma inazidi kuiweka sawa omicron, get well soon tunakuhitaji kesho ukiwa na afya njema.
Kijana wa hovyo hovyo naamini ulifanyia kazi ushauri wa wadau humu na ulipata kitunguu saum na unaendelea vizuri.
Nakuja na kitunguuSaint Anne kanikazia anaweza sana kuhudumia ila kachomoa.. nipo napambana nalo tu hapa
Nakumbuka nyumbani
usituangushe mwanangu kula misosi...achana na hzi breakfast
nakula kislay queenUnashiba kweli hii bila ubwabwa😅
Jf watoto wazuri wapo kumbe sema tu mnaringaga😅 kutuonesha majaliwa.