Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
E bwana inatuokoa na CoronaWatu wa matukio utawajua tu.. hii Azuma inaokoa sana watu wakorofi![]()

E bwana inatuokoa na CoronaWatu wa matukio utawajua tu.. hii Azuma inaokoa sana watu wakorofi![]()

Nikiishi haya maisha nitakufa kwa njaa.
😂😂😂😂 huwezi jua, huyo ni mkombozi sana aseee na dugu yake Azah, pale unapo otewaaaSaint Anne hajaanza hii michezo😀
Tuombe uzima. Natamani kukuhudumia when u need someone near.Ukija ndio tunaendeleza nilipoishia.
Usipokuja kuniuguza basi ndiyo ishaisha kwa mbili hivyo,nishapona.
Unakufaje asee.. mbona msosi mwingi sana huo..Nikiishi haya maisha nitakufa kwa njaa.
Kuna chupa za pombe jinsi zilivyo nzuri zinanipa imani kwamba na mimi naweza kunywa.



Inaokoa na mengi sana, mengine siri ya mabaharia 😂😂E bwana inatuokoa na Corona![]()
Eeeh!Inaokoa na mengi sana, mengine siri ya mabaharia![]()




Nimeitamani


Hivi si tayari umeshatayarisha picha ya kuselfika humu?Tuombe uzima. Natamani kukuhudumia when u need someone near.
Nimekuelewa..Sorry km nimekukwaza lkn.No hard feelings.yaan nimecheka nusu niangushe cm wallah.
Iv kwan mnakua serious sana na baadhi ya watu? Aidha mie niwe ke au me niliye left group sidhan km kwako ni tatzo.
Km kupitia michango ya mlengo au tabia fulani kuhusu kutetea, sio kila mtu anayetetea jambo fulan bas n muhusika, ila inakua ktk kuweka ukweli wa jambo. Sijawahi kuwa ktk mgogoro na mtu/watu ila huwa unatokea pale kukosana au kuelekezan juu ya jambo fulan huwaa inakua kutokubaliana.
Kuhusu picha zangu hili sio suala la msingi sana,maana wako wengi humu me/ke ambao wao hawajawahi weka hata picha ya mkono wao, sio ajabu na sio tatizo coz kila mtu ana maamuzi yake. Ila mie picha zangu zipo nyingi sana huko juu ukitaka wee pandisha juu utaziona
Labda nikupe angalizo usiwe sana serious na watu ktk hii forum, wako ke wanaotumia Id na avatar za me, pia wako me wanaotumia Id na avatar za ke. Pia wako wanaotumia Id na avatar za uhalisia wa jinsia zao. Sasa ukiwa serious ktk kuchunguza jinsia za watu humu utachelewa,
Mwisho wa siku utajikuta uko opie na fikra/mawazo yako ukabaki unastaajabu na kushangaa,km sio kutoa povu km huyo jamaa wa jana aliyedhan hizo Id 10 n pisi kali kumbe wife materials.
Lets enjoy, Jf Burudani kwa wote.
😊😊 hii inatibua magonjwa yetu yale.. ukipiga jioni kesho unaamka hali fresh.. sio hadi uende hospital.. uanze kusimangwaaaEeeh!
Basi mtakuwa na added advantage maana dawa hiyo ni multi purpose...inatibu hadi covid , typhoid na Amoeba.
Tena nahisi uzoefu pro maxLazima uwe mzoefu kwanza![]()

Lakini yakizidi inabidi mje kusimangwa kwanzahii inatibua magonjwa yetu yale.. ukipiga jioni kesho unaamka hali fresh.. sio hadi uende hospital.. uanze kusimangwaaa

Mvua imenyesha nikashindwa kunyoa ndevuHivi si tayari umeshatayarisha picha ya kuselfika humu?
safiiiUmenuna namna hiii....
Unyoe za nini?Mvua imenyesha nikashindwa kunyoa ndevu
.Hutumii alcohol?Tena nahisi uzoefu pro max
Machungu hayo makitu jamani