Selfika na JF: Snap it. Show it

Can somebody shout AMEN?

Hopeful Mataga hawakuniona


Itoshe tu kusema;-
Asante baba mtumishi wangu
Wacha watu kutoka pande zote waje,kuona jinsi nilivyobarikiwa..Naam Mungu wa Mbinguni alivyonibariki.
Wote waje kushuhudia huu upendo wetu
mzito.
vile mkono wangu wa kushoto nauweka chini ya kichwa chako,,Nao wa kuume ukiwa umekukumbatia.


Mimi ni wako mpenzi wangu,
Nawe ni wangu.

.............
Should I say more my gentleman ?
 
Inabidi vijana wa ulimwengu wakachukue somo kanisani kwenye Biblia.


Hadi sasa hakuna kijana aliwahi andika mashairi makali kama ya wimbo uliobora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…