Asante baba mtumishi wangu
Wacha watu kutoka pande zote waje,kuona jinsi nilivyobarikiwa..Naam Mungu wa Mbinguni alivyonibariki.
Wote waje kushuhudia huu upendo wetu
mzito. vile mkono wangu wa kushoto nauweka chini ya kichwa chako,,Nao wa kuume ukiwa umekukumbatia.
Hivi ni baharia gani aliandika Wimbo Ulio Bora? Ni Sulemani ama? Alishusha nondo za kufa mtu na wakati tukiwa vijana enzi zetu hakuna simu bado tunatuma barua za maua maua na vimishale usingekosa mafungu kutoka katika kitabu hiki. Nasikia kulikuwa na mzozo mkubwa wa kukikubali kama sehemu ya Biblia na kiliingizwa kwa mbinde tu... View attachment 2054800