cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,290
Bando langu la mwezi limeisha eti,yaani hata siku 3 hazijafika jamanisinayo matumizi zaidi ya jf na WhatsApp
Voda watanipukutisha![]()










Bando langu la mwezi limeisha eti,yaani hata siku 3 hazijafika jamanisinayo matumizi zaidi ya jf na WhatsApp
Voda watanipukutisha![]()










Ilinigharimu,nikawekwa nyavuni semester ya mwanzo ya mwaka...
Nikaanza kuishi kwa stress.





poleeeh, mie nikiwekwa mtu kati nakufa, maan siwezagi kuvumilia.Mimi nina pua ya kinyakyusa typical mkuu tena kama zile za wanaume maana wanaume wengi wa kinyakyusa pua zao zinafanana. Na ukizingatia nimefanana na mzee copyright.






Japo sijaiona grand malt,au ndio ina jina jingine ushamba wangu haujaniacha salamaUmepata my ex

Mbona akina Gwakisa na dokta Tulia wana pua sex toa emoji banaa.








Mtu yuko Mbinga huko unamuuliza updates za liver kweli!una nn wee?
Subiri uwekwe ndio utaona uvumilivu unakuwaje.poleeeh, mie nikiwekwa mtu kati nakufa, maan siwezagi kuvumilia.
,afu mwalimu huyohuyo anakufundisha tena na semester inayofuata..
Pole aisee
Hiyo,Al-Jazeera na BBC naangalia mwenyewe
Mr anaangalia Azam sinema zetu





ila wee khaaah.Kumbe wanaimbaga hivi...!?Mary's Boy child Jesus Christ was born on christmas day
Hark now hear the angels sing
A king was born today
And man will live for'ever more
Bse of christmas dayView attachment 2054469
Kumbe wanaimbaga hivi...!?
ndiyoBei zimesimama haswaa


Huwa mnapata wapi maneno serious ya kuongea?
Dah labda mi nimezoea mzaha,yaani ukiniweka kwenye issue ya kuongea sana nitabakia kimya tu.



kwanini sasa dea? Afu mbna simple tyuuh, unajua ktk jambo lolote km unalipenda na ni fantasy yako huwezi ona ugumu wowote. 

.nipo kunywa maziwa nilegeze sauti itoshe kusema kuwa mc ni shuuli nzito sana




aaah wapi wee mbna simple sana, navopenda mie wee acha tyuuh, nimekuwa MC tang std la 5, had 4m 6, graduation zote za shule nlikua mie MC.