Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni kweli technique nzuri ni kutanguliza mguu wa kushoto then ufanye kama unakimbia hivi utasimama tu mwenyewe. Ila ukiruka gari ikiwa speed sana nawe lazima utakimbia kwa speed sana na utachelewa kusimama.

Mimi nashukuru Mungu sijawahi dondoka ila niliwahi ruka gari ikiwa speed sana. Kwahiyo nikajikuta nakimbia speed ya subaru kwa muda mrefu bila Breki kama vile nateremka mlima ndiyo nikaja nikapata balance nikasimama.
khaaaag
 
Mwanamke
JamiiForums423254885.jpg
 
Nipe maelezo yaliyonyooka...DarSlum haiendi popote
Songea tatizo miundo mbinu yake mibovu, hapo mjini enyewe center unaweza sema kijijini tyuuh .

Ila kwa ukarimu tupo vizuri wangoni, utapewa na zawadi ya dagaa nyasa ambao hawapatikan kokote zaidi ya huko kwetu.
 
Wakati mwingine inatokea tu pale ambapo unataka ushushwe sehemu ambayo gari haitakiwi kushusha abiria. Mimi kuna siku niliwahi waomba Rungwe wanishushe Eso badala ya kwenda hadi Stendi Kuu wakaniambia pale hawaruhusiwi kushusha labda nikae mlangoni then watapunguza tu speed kidogo ili nishuke.

Na kweli walivyofika wakapunguza speed huyo nikaruka zangu wakatambaa uzuri sikuwa na mizigo nilikuwa na begi moja tu la mgongoni ndiyo maana hata nao walikubali vinginevyo ukiwa na mizigo hawakubali kukushusha sehemu kama hiyo maana hekaheka za kushusha mizigo yako inabidi gari isimame kabisa.

Sasa kwenye hizi daladala za mjini ndiyo kabisa imekuwa kama mazoea abiria kuomba kushushwa sehemu zisizoruhusiwa tena unaweza kuta ndiyo wengi kuliko hata wanaoshukia kwenye vituo rasmi. Watu tumeruka hadi kwenye treni ile ya mjini Gerezani-Pugu ambayo kuteleza na kukanyagwa mguu ni dakika sifuri sembuse magari.
wee pia si umepita JKT?
 
Ukitaka kumaliza show within 30seconds, hizi ndio pressure points za kumaliza shughuli. Hakikisha your blow is fatal, piga pigo kwa speed ya hatari na kwa nguvu zako zote. Tumia element of surprise, Opponent wako asijue kilichopo akili mwako.View attachment 2050231

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Dah kweli
Ukipigwa sehem yyt kati ya hizo lazm ukae chini kwanza mf ya pua doooh
 
Back
Top Bottom