Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hii part ilinichekesha sana

"na yule jamaa angu anaenijuaa akasema ww umepitia adi JKT acha uoga embu drop, bhas na mm nlvyotajiwa kuwa nlwah pita JKT nikajaa nkasema kuruka tu mbona jambo dogo hilo"
Haha mimi nilicheka pale watu walivyokuwa wanamshauri akiruka anatakiwa atangulize mguu wa kushoto then afanye kama anakimbia hivi ndiyo hataanguka. Basi wengine wakawa wanasema hizo ni theory tu jaribu uone.

Ila comment iliyonichekesha kuliko zote jamaa mmoja alikuja akasema "ukikosea kuruka ni either ulambe lami au utembee speed ya subaru". Aiseee nilicheka hapo kwenye speed ya subaru maana hiko kitu kiliwahi nitokea.
 
Haha mimi nilicheka pale watu walivyokuwa wanamshauri akiruka anatakiwa atangulize mguu wa kushoto then afanye kama anakimbia hivi ndiyo hataanguka. Basi wengine wakawa wanasema hizo ni theory tu jaribu uone.

Ila comment iliyonichekesha kuliko zote jamaa mmoja alikuja akasema "ukikosea kuruka ni either ulambe lami au utembee speed ya subaru". Aiseee nilicheka hapo kwenye speed ya subaru maana hiko kitu kiliwahi nitokea.
Sasa hivi kila mtu amegeuka mtoa ushauri wa kuruka.

Eti spidi ya subaru

Yaani huu uzi nilicheka nusu nizimie.

Enhee tuhadithie kidogo ulovyoenda kwa spidi ya subaru.
 
IMG_9064.jpg

Weekends in Bagamoyo
 
Sasa hivi kila mtu amegeuka mtoa ushauri wa kuruka.

Eti spidi ya subaru

Yaani huu uzi nilicheka nusu nizimie.

Enhee tuhadithie kidogo ulovyoenda kwa spidi ya subaru.
Ni kweli technique nzuri ni kutanguliza mguu wa kushoto then ufanye kama unakimbia hivi utasimama tu mwenyewe. Ila ukiruka gari ikiwa speed sana nawe lazima utakimbia kwa speed sana na utachelewa kusimama.

Mimi nashukuru Mungu sijawahi dondoka ila niliwahi ruka gari ikiwa speed sana. Kwahiyo nikajikuta nakimbia speed ya subaru kwa muda mrefu bila Breki kama vile nateremka mlima ndiyo nikaja nikapata balance nikasimama.
 
Ni kweli technique nzuri ni kutanguliza mguu wa kushoto then ufanye kama unakimbia hivi utasimama tu mwenyewe. Ila ukiruka gari ikiwa speed sana nawe lazima utakimbia kwa speed sana na utachelewa kusimama.

Mimi nashukuru Mungu sijawahi dondoka ila niliwahi ruka gari ikiwa speed sana. Kwahiyo nikajikuta nakimbia speed ya subaru kwa muda mrefu bila Breki kama vile nateremka mlima ndiyo nikaja nikapata balance nikasimama.
Mbinu yao ya kuruka ni kweli kama walivyoeleza lakini sijui kwanini nimejikuta nacheka tu ,kila mtu sasa anatoa hiyo mbinu na wakati jamaa ashadondoka.

Njia nzuri ni kusubiri tu gari isimame,mambo ya kuruka haya watu watakuja kutegua nyoga.

Ila yote kwa yote jamaa aliyetoa ule uzi ni bonge la comedian aloo
 
Back
Top Bottom